Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni magonjwa yanayokuja na ukimwi na side effects za dawa za ukimwi.Zamani ilionekana UKIMWI ni tishio kwa Dunia nzima, kwa dhana kwamba ni lazima mtu atakufa tu.
Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana.
Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila kula vizuri, kunywa maji mengi n.k?
Lakini mbona wazee wetu wanakunywa pombe miaka nenda rudi lakini hawasumbuliwi na magonjwa haya kama vijana wa leo?
Madaktari wameshindwa kabisa kuthibiti vifo vya magonjwa haya kiasi kwamba mtu akishaumwa tu haya magonjwa anahesabu kifo wakati wowote.
Kwanini yameshindikana?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Unafikiri mtu akifa kwa figo watasema kafa kwa ngoma? Ngoma ndio inaleta hayo magonjwa yasiyoambukizwa sasa. Ngoma ndio mfadhili mkuu wa magonjwa hayo, ni kama Master hivi.Acha uongo jamaa..uli wapima..?na pia takwimu nyingi zinaonyesha magonjwa yasiyo yakuambukiza ndio yanaongoza kwa vifo..magonjwa nyemelezi ambayo ni ya kuambukiza ndio yanayo wapereka wenye ngoma..rudi shule boya wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Ni MITUNGI, MIKASI na BLANTI
Mkuu umenishtua ina maana mafuta ya mbegu za alizeti hayafai kwa matumizi?Pombe na sigara kupitiliza ,,pia kuna hizi sumu tunakula kila siku kama sukari especially ya kwenye bidhaa za viwandani kama juice, soda,pipi nk. Mafuta ya kupikia yanayotokana na mbegu ni hatari sana lakini ukijumkisha na madawa yanayopigwa kwenye mazao,mboga basi ni kama tunakula sumu inayotuua taratibu [emoji27][emoji27] .
Check hizo link hapo juu ambazo nimepost,,,mafuta bora ya kula ni nazi,mawese,olive pamoja na animal fats . Hushangai mtu akiwa na pressure anatakiwa kuacha kutumia mafuta ya kupikia,sukari nk! Maana yake hiyo ni sumu inayoua taratibu.Mkuu umenishtua,ina maana mafuta ya mbegu za alizeti hayafai kwa matumizi?
Madawa ya kufubaza yanachosha ini na hatimae kuua figo!Ngoma ndio inaondoa watu, vile tu ngoma sio ugonjwa bali ni hali...
Ndio maana yanatajwa magonjwa nyemelezi ambayo hutoa uhai wa wahusika...
Ukiacha hilo, matumizi makubwa ya pombe na vilevi vingine ambavyo kwa kiasi kikubwa ni chanzo cha magonjwa yasiyoambukizwa
Huwezi kuambiwa kwakua hakuna ugonjwa unaoitwa Ukimwi kwahiyo wako sahihi kabisa.Na wengi hufa kwa ngoma, ila hutoweza kuambiwa kuwa kafa kwa ngoma, utaambiwa kafa kwa kisukari, BP, moyo n.k
Tuendelee kujilinda.
Check hizo link hapo juu ambazo nimepost,,,mafuta bora ya kula ni nazi,mawese,olive pamoja na animal fats . Hushangai mtu akiwa na pressure anatakiwa kuacha kutumia mafuta ya kupikia,sukari nk! Maana yake hiyo ni sumu inayoua taratibu.
DuhCheck hizo link hapo juu ambazo nimepost,,,mafuta bora ya kula ni nazi,mawese,olive pamoja na animal fats . Hushangai mtu akiwa na pressure anatakiwa kuacha kutumia mafuta ya kupikia,sukari nk! Maana yake hiyo ni sumu inayoua taratibu.
Yes!Huwezi kuambiwa kwakua hakuna ugonjwa unaoitwa Ukimwi kwahiyo wako sahihi kabisa.
Nipo hai, upo sahihi. AIDS ndiyo key master ya kufa kwao kwani hukaribisha kwa wingi magonjwa tajwa.
Mafuta ya wanyama kama ng'ombe [emoji230], [emoji207], [emoji200] nk, Blueband (margarine) kaa nayo mbali sio natural fat.Which animal fat mkuu? Hata yanayotokana na nguruwe!? Maana yule anatoaga sana mafuta
Olive oil hayatokani na mbegu mkuu?Check hizo link hapo juu ambazo nimepost,,,mafuta bora ya kula ni nazi,mawese,olive pamoja na animal fats . Hushangai mtu akiwa na pressure anatakiwa kuacha kutumia mafuta ya kupikia,sukari nk! Maana yake hiyo ni sumu inayoua taratibu.