King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huu ndio ukweli kabisa 100%
And yet majority who were brainwashed by his cock and bull stories are still here cheering a failed despot ! SMH..Magufuli was a hypocritical ruler who preferred to use the underprivileged people for political milage. Nothing more.
Umeshakuwa mkaa wa moto, hauvutii tena.Je CCM haiutaki huu mtaji tena?
Kiongozi yoyote mwoga hukumbatia kundi la wajinga ili wamlindeWanabodi,
Hebu tujuzane hapa sababu zilizopelekea Rais wa awamu ya 5 hayati Magufuli kuwalinda Wamachinga hata kwa kutengua teuzi zake mbalimbali.
Je, sababu hizo zina msingi wowote au ni huruma zake tu?
Naomba tuelimishane hapa pls
SwadaktaAlitaka kuwatumia kisiasa kwenye wazo lake la kuja kubadili katiba na kuendelea kutawala.
Kule kimara kwa vile wengi ni wachaga haina shida sanaMagufuli alikuwa katili mwigizaji.
Alikuwa hafuati sheria bali upepo.
Magufuli huyohuyo ndiye aliyevunja maelfu ya nyumba Kimara, Magufuli huyohuyo ndiye aliyewakingia watu wa Mwanza wasivunjiwe nyumba
ingia kwenye kamusi ujionee TAFSIRI HALALI YA NENO MNYONGE , ukishaiona nina hakika hutarudia kutamka hilo nenoFalsafa ya
"Raisi wawanyonge"
Aliionyesha kwa vitendo
Magufuli hajawahi kuwa na hurumaAlikua na huruma tu ila huruma iyo iliwapa mapembe mpka wanavamia barabara
Easier than the Alternative....
Endelea kulea tatizo miaka kumi ikiisha hilo ni tatizo la mwingine, kuliko kutatua tatizo ambalo huenda utatuzi ukachukua muda na kuja kutengemaa huenda ushaondoka, lakini maumivu na lawama zikabaki kwako...
Moral of the Story; Tatizo hili ni vigumu kutatuliwa na wanasiasa
Unawaletea watu matatizo then unajifanya mkombozi waoUmenikumbusha neno la kinyakyusa la autocratic leadership
.......... WawanyongeUnawaletea watu matatizo then unajifanya mkombozi wao
Ulichoandika ni ujinga kwa hiyo ulitaka awapige rungu eti kama siku zote uzuri hakufanya hicho... in brief ni "usanii wa wanasiasa". Actually, kilichopelekea kufanya hivyo kwanza ni kwa sababu kulikuwa na walakini mkubwa uchaguzi wa 2015 so, ili kujaribu kutafuta support of the mass, machinga ilikuwa kimbilio la kwanza.
Pili, Lowasa kupanda dalala kwenye kampeni za mwaka ule kwa CCM ilionekana kama inapoteza ushawishi kwa watu wa chini, so the best option kwa CCM kujionesha bado kipo na watu wa chini na sio chama cha matajiri na viongozi kama ambavyo ilikuwa inaonekana machoni pa umma, ni lazima hadaa za kila namna ilikuwa zifanyike kujaribu kuboresha "image ya chama" na kimbilio again ilikuwa machinga, bodaboda, na makundi ya aina hiyo.
Nirudie tena, zote hizo zilikuwa hadaa tu ili kupata support ya kisiasa bila kujali athari za approach hizo! Matokeo yake umaskini umezidi kuongezeka nchini kwa kiwango cha kutisha, gharama za maisha usiombe, miji imekuwa shaghalabagala, diplomasia imevugwa kwa kwango ambacho hakikuwahi kufikiriwa, just to mention few.
WAmetolewa maeneo yasiyo rasmi ili waende kwenye maeneo maalumi,Sasa kwanini nisifurahieMkuu unafurahi wenzio kupoteza vyanzo vya mapato? Ama kweli mtu mweusi amelaaniwa
Waende kwenye hayo maeneo waliyoandaliwa. Huwez kujenga kibanda Juu ya mtaro ama kufunga Barabara ya waenda kwa miguu kwa kisingizio Cha ajiraSawa nakubali wamebomolewa lakin Tanzania/ Dar usiilinganishe na Uingereza/London hapa , Hapa anachofanya Samia just short solution for the very long coming more problems , Vijana wengi hawako na ajira especially hao graduates ipo siku atatamani kuwarudisha wamachinga kwenye maisha yao ya kawaida, labda kwa kuwa CCM haitegemei kura za wananchi powa
Wingi wao utawanyima CCM kubaki madarakani?Machinga ni mtego mbaya wa kisiasa.
Rais atapata tabu kuendesha serikali yake.
Hawa watu ni wengi sana kuliko wenye ajira na biashara rasmi na wana wategemezi.
Kuna hitajika busara kukaa nao.
Tueleweshe basi wewe Tafadhalii uliyeelewa na si kukalili.Napenda wasomi waliosoma na kuelewa na sio walokaririshwa mitazamo ya wengine humu wengine naona NI wasomi waliokariri hawakuelewa