Kwanini Mahakama Maalum ya Katiba haijawahi kufanya kazi Tanzania?

Kwanini Mahakama Maalum ya Katiba haijawahi kufanya kazi Tanzania?

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Nina swali kwa wadau wa JF.

Ukisoma Ibara ya 125 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna mahakama Maalum ya Kikatiba ilianzishwa, ila mahakama hiyo haijawahi kufanya kazi au kusikiliza shauri lolote.

Je, ni sababu gani inazuia mahakama hiyo Maalum ya Katiba kutowahi kusikiliza shauri au kuamua shauri lolote tangu kuanzishwa kwake?

Naomba kuwasilisha swali.
 
Kesi ya kikatiba huchukua miaka na miaka kusikilizwa hadi maamuzi. Wanasheria wa CCM wanajua ni kwa nini hii hali ilivyo huko, labda watatoa majibu ni kwa nini hawapendelei kesi za kikatiba.
 
Nina swali kwa wadau wa JF.

Ukisoma Ibara ya 125 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna mahakama Maalum ya Kikatiba ilianzishwa, ila mahakama hiyo haijawahi kufanya kazi au kusikiliza shauri lolote.

Je, ni sababu gani inazuia mahakama hiyo Maalum ya Katiba kutowahi kusikiliza shauri au kuamua shauri lolote tangu kuanzishwa kwake?

Naomba kuwasilisha swali.
Ni kwasababu, kwa maoni yangu, ikikaa hii mahakama itatoa haki na uongozi wa Tanzania haupendi kuona haki inatendeka.
 
Nina swali kwa wadau wa JF.

Ukisoma Ibara ya 125 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna mahakama Maalum ya Kikatiba ilianzishwa, ila mahakama hiyo haijawahi kufanya kazi au kusikiliza shauri lolote.

Je, ni sababu gani inazuia mahakama hiyo Maalum ya Katiba kutowahi kusikiliza shauri au kuamua shauri lolote tangu kuanzishwa kwake?

Naomba kuwasilisha swali.
Hili ni swali la msingi sana, sio tuu Mahakama ya katiba haijawahi kusikiliza shauri lolote, Mahakama hiyo haijawahi kuundwa, yaani constituted kwasababu hakujawahi kutokea shauri lolote lililohutaji Mahakama hiyo, ila tuombe Mungu, kabla ya uchaguzi mkuu ujao, kuna wakili fulani atafungua shauri la kikatiba litakalo uinda Mahakama hiyo!.

P
 
Hili ni swali la msingi sana, sio tuu Mahakama ya katiba haijawahi kusikiliza shauri lolote, Mahakama hiyo haijawahi kuundwa, yaani constituted kwasababu hakujawahi kutokea shauri lolote lililohutaji Mahakama hiyo, ila tuombe Mungu, kabla ya uchaguzi mkuu ujao, kuna wakili fulani atafungua shauri la kikatiba litakalo uinda Mahakama hiyo!.

P

Asante sana Wakili.
 
Back
Top Bottom