Kwanini Majaji hawaruhusiwi kujichanganya sana?

Kwanini Majaji hawaruhusiwi kujichanganya sana?

Taeyong

Senior Member
Joined
Sep 29, 2019
Posts
160
Reaction score
206
Kwa anaefahamu atujuze, hivi ni kwanini majaji wa mahakama hapa Tanzania hawaruhisiwi kujichanganya sana? Maana huwezi kuskia Majaji wanahudhuria sherehe, Misiba nk!?
 
Kwa anaefahamu atujuze, hivi ni kwanini majaji wa mahakama hapa Tanzania hawaruhisiwi kujichanganya sana? Maana huwezi kuskia Majaji wanahudhuria sherehe, Misiba nk!?
Wasitoboe siri
 
Unaposema hawaruhusiwi maana yake ni kwamba wanakatazwa.
Nani anawakataza?
Kwa cheo na wadhifa wa jaji hapa Tanzania, hakuna wa kumkataza kutembea popote hapa nchini.
Ni watu wa kujisikia hawawezi kudhurula hovyo . Kila kitu hupatiwa bure
 
Unaposema hawaruhusiwi maana yake ni kwamba wanakatazwa.
Nani anawakataza?
Kwa cheo na wadhifa wa jaji hapa Tanzania, hakuna wa kumkataza kutembea popote hapa nchini.
Ni watu wa kujisikia hawawezi kudhurula hovyo . Kila kitu hupatiwa bure
Shukran kwa mchango wako mkuu.
 
Kwa anaefahamu atujuze, hivi ni kwanini majaji wa mahakama hapa Tanzania hawaruhisiwi kujichanganya sana? Maana huwezi kuskia Majaji wanahudhuria sherehe, Misiba nk!?
Kazi lawama hivyo kudhuriwa
 
Back
Top Bottom