Ni wangoni hawa wa jamii ya kizulu walioshindwa vita vya kugombania ardhi enzi za ubabe wa bwana shaka, shaka zulu wakaamua kutafuta makazi nje ya zululand.
Historia ya wangoni ilitawaliwa na vita vya mara kwa mara vya kugombania ardhi kule zulu land na all the way from south africa to milima ya songea.
Hawa mabwana ili kujipambanua sifa na uwezo walionao katika vita au maisha mengine ya kawaida koo mbalimbali walijipa au walipewa majina ya wanyama ili kusadifu uwezo au udhaifu wao kama alama ya utambulisho.
Koo zenye nguvu na za kibabe au wawindaji hodari walijipachika au walipachikwa majina ya wanyama kama vile simba, faru, tembo n.k.
Wale waoga, wanyonge, watumwa na wadhaifu ndio hawa akina mbawala, komba, nguruwe, punda n.k.
Wale wanjanja wajanja, walaghai, zulumati na matapeli ndio hao akina sungura, nyoka, nk.
Kuna historia kubwa sana wangoni sio rahisi kuiandika yote hapa hususani ubabe wao kwenye vita, utani na makabila mbalimbali.
Lkn wangoni wa leo sijui wamekumbwa na nini ni waoga kupindukia, sifa kubwa waliyobakiza ni kuichagua ccm na kupenda wanawake kuliko hela[emoji24][emoji24][emoji24]