Hata mchana zinaogofyaHizi mada sio za kujadili usiku
Not too deep, not too shallow, just the ‘right’ depthHi, kuna mtu yeyote anaweza kunieleza ama kunipa kisa kilichopelekea kaburi kuitwa futi sita?!
🤣🤣🤣Kuna uwezekano wakufufuka mzee kama ushawahi angalia bongo muvi ya nsuka kaburi lake lile lilikuwa futi 2 si unaona alivyotoa tu mkono kutoka kwenye kaburi chap tu mkono uko njee
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna uwezekano wakufufuka mzee kama ushawahi angalia bongo muvi ya nsuka kaburi lake lile lilikuwa futi 2 si unaona alivyotoa tu mkono kutoka kwenye kaburi chap tu mkono uko njee
Kwahiyo me kaburi langu nikitoa maagizo liwe futi 5 au 7 nitakuwa nimewapiga chenga hawa 666 sio?Freemasons 666
Ni kipimo ambacho hata kama marehemu ana maambukizi mabaya bacteria ama virus wake hawawezi kujipenyeza na kutoka njeHi, kuna mtu yeyote anaweza kunieleza ama kunipa kisa kilichopelekea kaburi kuitwa futi sita?!
Hujajibu swali anauliza kwann ziwe fut sita na si pungufu au zaidi? Ingekua pepe una ziro ndugu1.kuepusha maiti kufukuliwa kirahisi na wanyama kama fisi njaa kali
2.kuepusha adha za mizoga (kunuka harufu kali)
3.kuepusha/kusitiri marehemu kwani ardhi ipumue itakavyopumua lakini mpaka kufikia udongo wa levo aliyopo mtu basi kila kitu kitakuwa kimeoza (si rahisi kuona masalia yake ya mifupa)
4.ni utaratibu uliokutwa yaani uliowekwa tangu enzi mfano kwa waislam kuna maelekezo na maelezo maalumu kabisa ya namna kaburi linavyotakiwa kuwa
5.Hatahivyo, si kweli kwamba ni lazima futi sita bali ni urefu unaokadiriwa tu kwa macho na of course inasemwa tu uwe 'urefu wa kutosha' au kadiri. Nadhani kama wapo wanaopima kina cha kaburi kwa futikamba basi ni wachache sana
6.pia kuna makaburi ya mwendokasi kitu unakuta inakomea kwenye magoti haahaa. Kama huamini angalia andhaa kanoon[emoji23]
Amejibu vizuri isipokua sababu moja ambayo unaitaka wewe hakuitaja ya kwanini futi 6 tuu na si zaidi ya hapo..Hujajibu swali anauliza kwann ziwe fut sita na si pungufu au zaidi? Ingekua pepe una ziro ndugu