KwaniniHizi mada sio za kujadili usiku
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo ya nsuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hayo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante sana1.kuepusha maiti kufukuliwa kirahisi na wanyama kama fisi njaa kali
2.kuepusha adha za mizoga (kunuka harufu kali)
3.kuepusha/kusitiri marehemu kwani ardhi ipumue itakavyopumua lakini mpaka kufikia udongo wa levo aliyopo mtu basi kila kitu kitakuwa kimeoza (si rahisi kuona masalia yake ya mifupa)
4.ni utaratibu uliokutwa yaani uliowekwa tangu enzi mfano kwa waislam kuna maelekezo na maelezo maalumu kabisa ya namna kaburi linavyotakiwa kuwa
5.Hatahivyo, si kweli kwamba ni lazima futi sita bali ni urefu unaokadiriwa tu kwa macho na of course inasemwa tu uwe 'urefu wa kutosha' au kadiri. Nadhani kama wapo wanaopima kina cha kaburi kwa futikamba basi ni wachache sana
6.pia kuna makaburi ya mwendokasi kitu unakuta inakomea kwenye magoti haahaa. Kama huamini angalia andhaa kanoon[emoji23]
Chenga kubwa na watabaki midomo wazi hawatoamini.Kwahiyo me kaburi langu nikitoa maagizo liwe futi 5 au 7 nitakuwa nimewapiga chenga hawa 666 sio?
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Chenga kubwa na watabaki midomo wazi hawatoamini.
Kabisa mkuuHata mchana zinaogofya
Nilijua tu mshana utakuja maana huu ni uwanja wako wa kujidaiKwanini
Kuna watu walizikwa kwenye piramid mpaka leo majeneza yao yapo infact1.kuepusha maiti kufukuliwa kirahisi na wanyama kama fisi njaa kali
2.kuepusha adha za mizoga (kunuka harufu kali)
3.kuepusha/kusitiri marehemu kwani ardhi ipumue itakavyopumua lakini mpaka kufikia udongo wa levo aliyopo mtu basi kila kitu kitakuwa kimeoza (si rahisi kuona masalia yake ya mifupa)
4.ni utaratibu uliokutwa yaani uliowekwa tangu enzi mfano kwa waislam kuna maelekezo na maelezo maalumu kabisa ya namna kaburi linavyotakiwa kuwa
5.Hatahivyo, si kweli kwamba ni lazima futi sita bali ni urefu unaokadiriwa tu kwa macho na of course inasemwa tu uwe 'urefu wa kutosha' au kadiri. Nadhani kama wapo wanaopima kina cha kaburi kwa futikamba basi ni wachache sana
6.pia kuna makaburi ya mwendokasi kitu unakuta inakomea kwenye magoti haahaa. Kama huamini angalia andhaa kanoon[emoji23]
Kisutu kumejaa lakini mnalundika tu maiti nyie watu.Sijaona majibu ya kitaalam , kuendana na swali lililoulizwa,,
Kwa nn kabuli linachimbwa futi 6
Tega sikio
Kabuli la kiislam,,
Upana uwa tunapima mwili wa marehemu
Kuanzia kidole mbaka utosi
Kisha kipimo anapewa mchimba kabuli
Kuhusu urefu wa kwenda chini
Kipimo ni bega
Kisha kuna mwana ndani
Upana ni unyayo wa mguu
Urefu wa kwenda chini katika mwana ndani
Ni baina ya nyayo na goti la mguu
Mwislam akilazwa Kabulini
Pale kwenye mwana ndani
Mwanaume analala ubavu wa kulia
Kifua kinatakiwa kizame katika mwana ndani
Sasa ukitaka kupima urefu wa kabuli la mwislam
Chukua hiyo,,
Na kwa taarifa yenu,,
Kabuli moja linatakiwa liingie maiti 10
Kama makabuli ni ya umma
Na kabuli la mwislam kujengewa ni makosa
Kama amezikwa katika makabuli ya umma kama
Vile Kisutu nk,,
Ila ukizikwa katika shamba lako maamuzi ya kujengea kabuli litabaki katika familia
Mkijengea sawa mkiacha sawa…