Kwanini makada hawa wa CHADEMA hatujawaona kwenye maandamano? Shida iko wapi? Au wameogopa?

Kwanini makada hawa wa CHADEMA hatujawaona kwenye maandamano? Shida iko wapi? Au wameogopa?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
 
Mlisema Mbowe na Lissu hawatakuwepo,leo Mbowe na mwanae wamekamatwa,mnahamisha goli.
Wananchi wamechoka.

Mkuu, what do you mean by Mlisema? Kwanini unanijumuisha?

Lini uliniona nimesema Lissu na Mbowe hawatokuwepo?

Kwanini mtu akihoji maswali mnamuweka kama adui?
 
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
Swali tu la kuuliza, kama hujawaona ndiyo kusema nini? Na usipowaona wa kuuliza ni nani, wao au polisi wanaowakamata?
 
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
 

Attachments

  • 20240923_105848.jpg
    20240923_105848.jpg
    97.7 KB · Views: 4
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
Lazima ufanye jambo kimkakati huwa kuna Jeshi la mstari wa mbele kuna jeshi la kati na backup troops kwahiyo usitake kujua mikakati ya watu.
 
Swali tu la kuuliza, kama hujawaona ndiyo kusema nini? Na usipowaona wa kuuliza ni nani, wao au polisi wanaowakamata?

This is an open ended question mkuu. Either CHADEMA au Polisi wakijibu ni sawa tu.

Sijaweka limit.

Ningekuwa najua ID zao ningewatag kabisa
 
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
Halima Mdee nenda ofisi ndogo za CCM Lumumba utamkuta
 
Wapo kwenye majukumu mengine ya kichama ikiwemo kuandaa mawakala wa kusimamia zoezi zima la uandikiswaji na uboleshaji wa daftari la mpiga kura.
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
 
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
Kwa kweli ajabu sana ila ukiwakuta kwenye mitandao itasema makamanda ndio hawa kumbe ikifika siku ya kuandamana wakiwaza bia ,wanaona bora bia
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Hamna ka picha au kavideo mkuu, tuone?

Maana kina Mbowe na Lissu tuliwaona wakiwa mstari wa mbele unfortunately wakakamatwa
Kila mtu yupo ndani kwake tukiandamana online hvy hakuna picha
 
Lazima ufanye jambo kimkakati huwa kuna Jeshi la mstari wa mbele kuna jeshi la kati na backup troops kwahiyo usitake kujua mikakati ya watu.

Sijakuelewa. CDM wana jeshi lao?

Na hiyo mikakati unayoisema ni ipi mkuu ambayo sisi wananchi hatupaswi kuifahamu
 
Wapo kwenye majukumu mengine ya kichama ikiwemo kuandaa mawakala wa kusimamia zoezi zima la uandikiswaji na uboleshaji wa daftari la mpiga kura.

Kwamba wakashindwa kutenga masaa 12 kwa ajili ya kuungana na wananchi ili kuandamana?

Sasa mtu kama Mdude anahusikaje na daftari la mpiga kura mkuu
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Bila kupoteza muda naomba niendee moja kwa moja kwenye mada.

Kuna makada na viongozi wa CHADEMA ambao tulitegemea moja kwa moja wangekuwa mstari wa mbele kwenye maandamano haya lakini ni hawajaonekana kabisa.

Yuko wapi Martin Maranja Masese wa Twitter?
Yuko wapi Sugu?
Yuko wapi John Mnyika?
Yuko wapi Mdude Chadema?
Yuko wapi Halima Mdee?
Yuko wapi Hilda Newton?

Ni kwamba wameogopa jeshi la polisi au kuna changamoto wamekutana nayo, kubwa sana kiasi cha kutoonekana kabisa kwenye maandamano?

Mwenye video ya mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu naomba awasilishe.

Asante
Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia.
 
Back
Top Bottom