Swali langu lilikuwa kwenye muundo wa sentensi (not necessarily fact) kwa sababu napenda sana logic. Hivyo, huwa napenda kuangalia uwasilishaji wa hoja.This is an open ended question mkuu. Either CHADEMA au Polisi wakijibu ni sawa tu.
Sijaweka limit.
Ningekuwa najua ID zao ningewatag kabisa