Uchaguzi 2020 Kwanini makada wakongwe CHADEMA hawampi sapoti Lazaro Nyalandu?

Uchaguzi 2020 Kwanini makada wakongwe CHADEMA hawampi sapoti Lazaro Nyalandu?

Nyani Mzungu

Member
Joined
May 29, 2020
Posts
45
Reaction score
58
Nimejaribu kuangalia jinsi Nyalandu alivyojipanga na hii kasi ya kutia Nia lakni naona makada wapo kimya sioni ata comment hasa kwa wabunge wa Chadema na makada wengine wakongwe

CHADEMA kina mchango gani kwa Nyalandu kama chama maana kijana anatumia pesa si mchezo naona anatishia kasi ya Peter Msigwa kabla hata ya kura za maoni

Najiuliza tu kijana anatoa pesa zake mfukoni kwa kampeni hizo ata hajapitishwa, anafanya vitu kana kwamba ana uhakika wa kushinda

Wakati ukiangalia mioyo na matamanio ya wanachadema ni jembe kutoka Ubelgiji .

Makada wengi wa CHADEMA wamekuwa wakipositi picha za Lissu kwa shauku kubwa na huku wakisema watakuwa nae bega kwa bega ,mvua inyeshe jua liwake lazima Hon Tundu Antipas Lissu achukue Nondo za Magogoni.

Najiuliza Tu Nyalandu anatoa wapi kiburi cha kujihakikishia kiti ndani ya CHADEMA.

IMG_20200712_133954.jpg

View attachment 1504628
View attachment 1504631
 
Ondoa shaka, huyu ni wa dhati! Ameacha zaidi ya mamilioni 300 za kustaafu, ujue ana nia kweli na sidhani kama ni mbinu za ccm kuulaghai uma kuwa amejiuzulu! He is serious
Kasi aliyonayo ana amejihakikishia kweli Lissu hawezi kupita. Kuna walakini apa!! Haogopi Moto atakaokuja nao bwana mkubwa kutoka majuu!.
 
Kasi aliyonayo ana amejihakikishia kweli Lissu hawezi kupita. Kuna walakini apa!! Haogopi Moto atakaokuja nao bwana mkubwa kutoka majuu!.
True anajiamini sana tena sana!Mimi kwa hilo nampongeza. Lakini kama unavyosema watu wamemuangukia Lisu sana! Lkn Nyarandu nimetokea kumwamini naaha 15% za wanasiasa wasio waaminifu kama Sumaye na LOWASA
 
True anajiamini sana tena sana!Mimi kwa hilo nampongeza. Lakini kama unavyosema watu wamemuangukia Lisu sana! Lkn Nyarandu nimetokea kumwamini naaha 15% za wanasiasa wasio waaminifu kama Sumaye na LOWASA
Kizungumkuti.

Kuna jambo nyuma mpaka atumie pesa hivyo kuzunguka mikoani tena msafara wa basi kubwa na magari madogo .

Anajua fika Lissu ataangukia Kisutu na yeye atabaki anapeta Politics is a Science[emoji111]
 
Kizungumkuti.

Kuna jambo nyuma mpaka atumie pesa hivyo kuzunguka mikoani tena msafara wa basi kubwa na magari madogo .

Anajua fika Lissu ataangukia Kisutu na yeye atabaki anapeta Politics is a Science[emoji111]
Kama Lissu unadhani Ni rahis kufungwa kiasi hicho?Lissu sio Kama wakina Mdude kuwa utamfunga jela kirahisi,labda watumie staili ya mashehe wa Zanzibar.

Kwa upande wa Nyalandu ningependa awe mgombea mwenza wa Lissu,Tatizo Ni kiwa wote wanatoka mkoa mmoja hivyo itaonekana Kama Kuna masuala la ukabila na ukanda.Lazaro Ni presidential Material.Na anakubaliana Sana Ila Lissu anakubaliana zaidi kwa wasomi na wasio wasomi.
 
Big up Candidate Nyalandu. I wish you all the best 🌴🌴
 
Kwani Nayalandu ameshateuliwa kuwa mgombea mpaka aanze kuungwa mkono?!?!?

Unawapangia wa kuunga mkono?

Swali la kizushi: HIVI NI KWELI NYALANDU HAWEZI KUREJEA?
 
Msiwe na wasiwasi nguvu ya Umma itafanya kazi yake.
 
Kama Lissu unadhani Ni rahis kufungwa kiasi hicho?Lissu sio Kama wakina Mdude kuwa utamfunga jela kirahisi,labda watumie staili ya mashehe wa Zanzibar.

Kwa upande wa Nyalandu ningependa awe mgombea mwenza wa Lissu,Tatizo Ni kiwa wote wanatoka mkoa mmoja hivyo itaonekana Kama Kuna masuala la ukabila na ukanda.Lazaro Ni presidential Material.Na anakubaliana Sana Ila Lissu anakubaliana zaidi kwa wasomi na wasio wasomi.
Alipigwa lisasi tukio kubwa Africa na nje ya Africa kuwahi kutokea mpaka leo tunaona mizengwe na blaa blaa zikiendelea.Zaidi ya akina Lema kulia bungeni kuna kingine kipya ata akipelekwa Kisutu mtaweza kusimama nae kweli kama wana Chadema.

Lissu akija serikali itamfanya inachotaka na Chadema itabaki kulaani tu kupitia Katibu wake J.Myika
 
Unataka apewe sapoti ili ionekane anapendelewa? wakati huu kila mmoja atapambana na hali yake, atakapopitishwa mgombea mmoja na chama huyo ndie atapewa sapoti na wanachama na wapenzi wote.
 
Ameshakubaliana na Mbowe kuwa yeye Nyalandu ndio atakayepitishwa. Na ndio sababu ya Mbowe kuchukua fomu. Mbowe kachukua fomu ili kushawishi mkutano mkuu, umkate yeye kama mwenyekiti na umkate pia Makamu wake ambae ni Lissu. Watakaobaki top 3, Nyalandu ataonekana ndio anafaa. Atapitishwa.

Sayansi ya Mbowe ni kwamba Team Lissu wakija kulalamika, wajibiwe kuwa mbona Mwamba ambae ni mwenyekiti kakatwa na katulia, kama ni kuumizwa na serikali wote waliumizwa, tena yeye kapoteza mali (mashamba, billicans, gazeti n.k). Hayo ndio yatakuwa majibu ya utetezi.

Kiufupi CCM wamemtisha Mbowe asimpitishe Lissu kwa kusingizia kwamba atanyimwa dhamani na ataishia mahabusu bila kufanya kampeni. Mbowe kalegea, na kakubali.

Kumbe ni janja ya CCM , wanaogopa uthubutu wa Lissu tu.

Na wamemuahidi Nyalandu na Mbowe kuwa mgombea akiwa Nyalandu hawatambugudhi, ndio maana unaona hata Clouds na radio, TV zinamtangaza Nyalandu bila shida.

Halafu kwa wanaosema Nyalandu sio sawa na Lowassa, wasubiri 2022, Nyalandu atarudi CCM.

MBOWE kakosea sana kuitupa karata ya Lissu.

CCM wangecheza mziki mnene na hata hiyo mahabusu wangeogopa kumuweka, umma ukiamka.

Anyway naihurumia CDM, na upinzani maana ACT yupo Membe.

Wanamabadiliko hatuna chetu Tz politics. Ni CCM ina run vivuli vyote.
 
Ameshakubaliana na Mbowe kuwa yeye Nyalandu ndio atakayepitishwa. Na ndio sababu ya Mbowe kuchukua fomu. Mbowe kachukua fomu ili kushawishi mkutano mkuu, umkate yeye kama mwenyekiti na umkate pia Makamu wake ambae ni Lissu. Watakaobaki top 3, Nyalandu ataonekana ndio anafaa. Atapitishwa.

Sayansi ya Mbowe ni kwamba Team Lissu wakija kulalamika, wajibiwe kuwa mbona Mwamba ambae ni mwenyekiti kakatwa na katulia, kama ni kuumizwa na serikali wote waliumizwa, tena yeye kapoteza mali (mashamba, billicans, gazeti n.k). Hayo ndio yatakuwa majibu ya utetezi.

Kiufupi CCM wamemtisha Mbowe asimpitishe Lissu kwa kusingizia kwamba atanyimwa dhamani na ataishia mahabusu bila kufanya kampeni. Mbowe kalegea, na kakubali.

Kumbe ni janja ya CCM , wanaogopa uthubutu wa Lissu tu.

Na wamemuahidi Nyalandu na Mbowe kuwa mgombea akiwa Nyalandu hawatambugudhi, ndio maana unaona hata Clouds na radio, TV zinamtangaza Nyalandu bila shida.

Halafu kwa wanaosema Nyalandu sio sawa na Lowassa, wasubiri 2022, Nyalandu atarudi CCM.

MBOWE kakosea sana kuitupa karata ya Lissu.

CCM wangecheza mziki mnene na hata hiyo mahabusu wangeogopa kumuweka, umma ukiamka.

Anyway naihurumia CDM, na upinzani maana ACT yupo Membe.

Wanamabadiliko hatuna chetu Tz politics. Ni CCM ina run vivuli vyote.
Umenena ndiyo maana huyu Nyarandu anatia Nia kwa kiburi cha speed ya Lami
 
Kama Lissu unadhani Ni rahis kufungwa kiasi hicho?Lissu sio Kama wakina Mdude kuwa utamfunga jela kirahisi,labda watumie staili ya mashehe wa Zanzibar.

Kwa upande wa Nyalandu ningependa awe mgombea mwenza wa Lissu,Tatizo Ni kiwa wote wanatoka mkoa mmoja hivyo itaonekana Kama Kuna masuala la ukabila na ukanda.Lazaro Ni presidential Material.Na anakubaliana Sana Ila Lissu anakubaliana zaidi kwa wasomi na wasio wasomi.
Umesoma katiba kama hujasoma mgombea mwenza huwa anatoka upande mwingine kama mgombea urais anatoka bara mwenza anatoka visiwani vice versa
 
Najua baada ya uchaguzi wa mwaka huu 2020 October Chadema itashindwa na kuambulia nafasi ya Pili Tatu baada ya ACT ikiongozwa na CCM chama dola japo kwa kura za jumla wapinzani watapata nyingi sana lakini watazidiwa na CCM chama Dola na dola lake la system.

Baada ya wapinzani kushindwa Chadema itabidi wafanye kila mbinu ya kumfuta Uenyekiti Mlevi mmoja anayeitwa Mbowe.
Chama kotakaswe na kurudi mahali pake kumwandaa Tundu Lisu kuwa Rais wa jamhuri ya muungano 2025-2030. Wakati huo tutakua na Katiba mpya na sheria nzuri ambazo hakuna mwingine atakayeweza kuzisimamia zaidi ya Tundu Lisu.

Baada ya kumfuta Kazi Mbowe ,Mwenyekiti wa Chadema mpya atakua ni Kamanda Juma Mwalimu na Katiba mkuu Lazaro Nyalandu.
Makamu wa Mwanyekiti ataendelea kuwa Tundu Lisu.
Msemaji wa Chama Mch. Peter Msigwa.

Hatutaki nchi iwe na vyama vinavyoongozwa na walevi ,wezi na wazinzi wanaokesha baa, na wezi wa Ruzuku na pesa za chama.
 
Najua baada ya uchaguzi wa mwaka huu 2020 October Chadema itashindwa na kuambulia nafasi ya Pili Tatu baada ya ACT ikiongozwa na CCM chama dola japo kwa kura za jumla wapinzani watapata nyingi sana lakini watazidiwa na CCM chama Dola na dola lake la system.

Baada ya wapinzani kushindwa Chadema itabidi wafanye kila mbinu ya kumfuta Uenyekiti Mlevi mmoja anayeitwa Mbowe.
Chama kotakaswe na kurudi mahali pake kumwandaa Tundu Lisu kuwa Rais wa jamhuri ya muungano 2025-2030. Wakati huo tutakua na Katiba mpya na sheria nzuri ambazo hakuna mwingine atakayeweza kuzisimamia zaidi ya Tundu Lisu.

Baada ya kumfuta Kazi Mbowe ,Mwenyekiti wa Chadema mpya atakua ni Kamanda Juma Mwalimu na Katiba mkuu Lazaro Nyalandu.
Makamu wa Mwanyekiti ataendelea kuwa Tundu Lisu.
Msemaji wa Chama Mch. Peter Msigwa.

Hatutaki nchi iwe na vyama vinavyoongozwa na walevi ,wezi na wazinzi wanaokesha baa, na wezi wa Ruzuku na pesa za chama.
Umtoe Founder kwenye taasisi serious
 
Back
Top Bottom