Uchaguzi 2020 Kwanini makada wakongwe CHADEMA hawampi sapoti Lazaro Nyalandu?

Uchaguzi 2020 Kwanini makada wakongwe CHADEMA hawampi sapoti Lazaro Nyalandu?

A
Ondoa shaka, huyu ni wa dhati! Ameacha zaidi ya mamilioni 300 za kustaafu, ujue ana nia kweli na sidhani kama ni mbinu za ccm kuulaghai uma kuwa amejiuzulu! He is serious
Ameacha hizo milioni 300 kwa sababu anazo zingine trilioni tatu kwani biashara ya nyara za serikali sio mchezo alafu unajumlisha na vitalu vya kuwindia acha bwana. Sasa hivi tunashangaa tembo wamejazana wanahamia mijini hata wale waliokimbia nchi wamerudi kutoka Msumbiji.
 
A

Ameacha hizo milioni 300 kwa sababu anazo zingine trilioni tatu kwani biashara ya nyara za serikali sio mchezo alafu unajumlisha na vitalu vya kuwindia acha bwana. Sasa hivi tunashangaa tembo wamejazana wanahamia mijini hata wale waliokimbia nchi wamerudi kutoka Msumbiji.
Umeandika ushabiki wa kitoto! Kwaheri!
 
Umtoe Founder kwenye taasisi serious
Mbowe sio Founder.
Ni Msanii kama Pierre Liquid.
Mwaka 1995 ,Mbowe akiwa kijana mdogo anayeuza unga kama walivyokua wanauita. Aligombea Ubunge jimbo la Hai .Alitumia zaidi ya mil. 200 wakati huo kama rushwa . Taarifa za uhakika zilikua zinazagaa mitaani kuwa kijana ambaye alikua zungu la unga anagawa hela kama karatasi tu; Kipindi hicho hapakua na dafatari la mpiga kura zaidi ya kuchovya kidole kwenye wino baada ya kupiga kura.
Hata hivyo alishindwa kupata ubunge.

Nafikiri Mbowe ametumia fedha nyingi sana sio kukijenga Chama Bali kujijenga kama alivyokua anafanya Lowasa.
Sasa wasiomjua Mbowe kuanzia kule kijijini wanamuona kama Mkombozi wa walevi na wazinzi kumbe ni Msanii anayetaka kuimba kwenye Club ili anunuliwe pombe.
 
Nimejaribu kuangalia jinsi Nyalandu alivyojipanga na hii kasi ya kutia Nia lakni naona makada wapo kimya sioni ata comment hasa kwa wabunge wa Chadema na makada wengine wakongwe

CHADEMA kina mchango gani kwa Nyalandu kama chama maana kijana anatumia pesa si mchezo naona anatishia kasi ya Peter Msigwa kabla hata ya kura za maoni

Najiuliza tu kijana anatoa pesa zake mfukoni kwa kampeni hizo ata hajapitishwa, anafanya vitu kana kwamba ana uhakika wa kushinda

Wakati ukiangalia mioyo na matamanio ya wanachadema ni jembe kutoka Ubelgiji .

Makada wengi wa CHADEMA wamekuwa wakipositi picha za Lissu kwa shauku kubwa na huku wakisema watakuwa nae bega kwa bega ,mvua inyeshe jua liwake lazima Hon Tundu Antipas Lissu achukue Nondo za Magogoni.

Najiuliza Tu Nyalandu anatoa wapi kiburi cha kujihakikishia kiti ndani ya CHADEMA.

View attachment 1504533
View attachment 1504628
View attachment 1504631
Tumeshanyatwa na nyota kila jani likitugusa tunakimbia. TUNAYE LISSU WETU. THIS TIME HATUNA KUKOPA MGOMBEA.
 
A

Ameacha hizo milioni 300 kwa sababu anazo zingine trilioni tatu kwani biashara ya nyara za serikali sio mchezo alafu unajumlisha na vitalu vya kuwindia acha bwana. Sasa hivi tunashangaa tembo wamejazana wanahamia mijini hata wale waliokimbia nchi wamerudi kutoka Msumbiji.
Tatizo Chadema wengi hamjui kitu mnachafua watu bila sababu kama Mlivyomchafua Kinana baadae makamuomba Msamaha.
Ndio maana Mh . Rais anapiga marufuku mikutano yenu ya walevi ya kuchafua watu na kuzusha.

Hivi unajua kuwa Lazaro Nyalandu ndiye akiwa waziri wa Mali asili ndiye aliyeleta ndege na zile drone za kufanya doria kulinda Wanyama wetu wasimalizwe na Wasomali waliokua wanashirikiana na watu ndani ya Hifadhi ?
Unajua kuwa Kabla ya Lazaro, askari wa wanayama pori hawakua wanatumia silaha za Kivita kama AK 47 bali walitumia Short Gun kama wawindaji matokeo yake Majangili yaliyokua na Silaha za kivita walikua wanaingia Kwenye hifadhi kama ukumbini na kuua wanayama wetu??
Unayajua hayo au umepewa Konyagi na Mbowe unabaki kutokana watu walioliletea taifa letu sifa kubwa lakini wakachafuliwa kwa sababu ya woga wa Makundi ya urais ndani ya CCM.
Nyarandu ndiye aliyebadili mfumo nzima wa mafunzo ya askari wa wanayama pori na kuwa mfumo wa kijeshi na kuletewa silaha mpya kabisa za AK 47 na magari ya Land Cruiser na ndipo askari wetu walipoanza kuwazidi nguvu Majangili.
Ulikua unayajua hayo?

Serikali ya JK ilifanikiwa sana kujenga Majeshi yetu katika zana za kivita ndio maana awamu ya Tank haikupata shida kwenye suala la ulinzi.
Nchi ni majeshi kuwa imara. Usione vinaelea ujue vimeundwa.
Kumbuka wakati ule alivyomnyanyua yule askari mdogo wa wanayama pori aliyekua mahiri katika matumizi ya Silaha na mbinu za kivita ,walevi kwa makengeza yao wakabaki kusema eti amemshika Mwanamke na kumbeba badala ya kueleza tukio zima wakabaki wanasambaza picha bila maelezo.

Kabla ya awamu ya Tano vita dhidi ya Majangili ulikua Kali sana lakini makundi ndani ya CCM na Uhuru wa Bunge ulisababisha ile vita ikashindwa mana tume zilikua zinaundwa kila siku kuiwajibisha serikali kwa matumizi ya nguvu kupita kiasi .
.Unakumbuka Operation Tokomeza ujangili ilianza lini ? Au mnakua vipofu kwa kuvaa miwani??
Unakumbuka nini kilitokea baada ya Majangili kuwa yanauliwa kama kumbikumbi wakati wa kiangazi. ??
Bunge liliunda Kamati na mawaziri walijiuzulu wa wizara zaidi ya tatu walilazimishwa na Bunge wajiuzulu.

Hali hii ya wapinzani kuzusha jambo na kupaka watu matope ndilo lililopelekea Awamu ya Tano kudhibiti Bunge,vyombo vya habari na wanasiasa walevi wanaochafua watu huku wakitumia Bunge na vyombo vya habati kupata umaarufu kwa kuchafua watu.

Kwa siasa hizo za maji taka Bora Magufuli atawale mpaka miaka 40 yaani vipindi nane ili tujenge siasa za kistarabu.
 
Nimejaribu kuangalia jinsi Nyalandu alivyojipanga na hii kasi ya kutia Nia lakni naona makada wapo kimya sioni ata comment hasa kwa wabunge wa Chadema na makada wengine wakongwe

CHADEMA kina mchango gani kwa Nyalandu kama chama maana kijana anatumia pesa si mchezo naona anatishia kasi ya Peter Msigwa kabla hata ya kura za maoni

Najiuliza tu kijana anatoa pesa zake mfukoni kwa kampeni hizo ata hajapitishwa, anafanya vitu kana kwamba ana uhakika wa kushinda

Wakati ukiangalia mioyo na matamanio ya wanachadema ni jembe kutoka Ubelgiji .

Makada wengi wa CHADEMA wamekuwa wakipositi picha za Lissu kwa shauku kubwa na huku wakisema watakuwa nae bega kwa bega ,mvua inyeshe jua liwake lazima Hon Tundu Antipas Lissu achukue Nondo za Magogoni.

Najiuliza Tu Nyalandu anatoa wapi kiburi cha kujihakikishia kiti ndani ya CHADEMA.

View attachment 1504533
View attachment 1504628
View attachment 1504631

Kwa msiomjuwa Nyalandu yani yeye anajuwa kabisa hatakuwa Rais na wala Chadema haitachukua nchi ila kwenye hii process ya kampeni yeye ndiyo anapopiga hela kwa support anayopata kwa marafiki wa ndani na nje ya nchi.Kwa posotion aliyoshika serikalini especially Ministry of Tourism he made a lot of friends hivyo anapata sana support.Kwahiyo yeye amekaa ki sport mpaka mwezi october
 
Nyalandu ana connection kubwa sana worldwide ivo anatumia huu uchaguzi kupata funds tu za kwake binafsi
Na kichache ndio icho na kitumia kuonesha hao wafadhili wake kuwa Anataka dola ila hata akipeperusha bendera ya CDM ni ngumu sana kushinda
 
Nyalandu ni mtia nia hajawa mgombea.

Mleta uzi usipotoshe, kuna tofauti kati ya kutia nia na kuwa mgombea.
 
Umenena ndiyo maana huyu Nyarandu anatia Nia kwa kiburi cha speed ya Lami

Nyalandu hata akichaguliwa atazidi kuimarisha maamuzi yetu ya kutokupiga kura. Lisu ndio chaguo letu hata akiwa amefungwa. Hapa ni mambo ya kipenda roho.
 
Ameshakubaliana na Mbowe kuwa yeye Nyalandu ndio atakayepitishwa. Na ndio sababu ya Mbowe kuchukua fomu. Mbowe kachukua fomu ili kushawishi mkutano mkuu, umkate yeye kama mwenyekiti na umkate pia Makamu wake ambae ni Lissu. Watakaobaki top 3, Nyalandu ataonekana ndio anafaa. Atapitishwa.

Sayansi ya Mbowe ni kwamba Team Lissu wakija kulalamika, wajibiwe kuwa mbona Mwamba ambae ni mwenyekiti kakatwa na katulia, kama ni kuumizwa na serikali wote waliumizwa, tena yeye kapoteza mali (mashamba, billicans, gazeti n.k). Hayo ndio yatakuwa majibu ya utetezi.

Kiufupi CCM wamemtisha Mbowe asimpitishe Lissu kwa kusingizia kwamba atanyimwa dhamani na ataishia mahabusu bila kufanya kampeni. Mbowe kalegea, na kakubali.

Kumbe ni janja ya CCM , wanaogopa uthubutu wa Lissu tu.

Na wamemuahidi Nyalandu na Mbowe kuwa mgombea akiwa Nyalandu hawatambugudhi, ndio maana unaona hata Clouds na radio, TV zinamtangaza Nyalandu bila shida.

Halafu kwa wanaosema Nyalandu sio sawa na Lowassa, wasubiri 2022, Nyalandu atarudi CCM.

MBOWE kakosea sana kuitupa karata ya Lissu.

CCM wangecheza mziki mnene na hata hiyo mahabusu wangeogopa kumuweka, umma ukiamka.

Anyway naihurumia CDM, na upinzani maana ACT yupo Membe.

Wanamabadiliko hatuna chetu Tz politics. Ni CCM ina run vivuli vyote.
Amerudi kabla ya 2022
 
Back
Top Bottom