Uchaguzi 2020 Kwanini makada wakongwe CHADEMA hawampi sapoti Lazaro Nyalandu?

A
Ondoa shaka, huyu ni wa dhati! Ameacha zaidi ya mamilioni 300 za kustaafu, ujue ana nia kweli na sidhani kama ni mbinu za ccm kuulaghai uma kuwa amejiuzulu! He is serious
Ameacha hizo milioni 300 kwa sababu anazo zingine trilioni tatu kwani biashara ya nyara za serikali sio mchezo alafu unajumlisha na vitalu vya kuwindia acha bwana. Sasa hivi tunashangaa tembo wamejazana wanahamia mijini hata wale waliokimbia nchi wamerudi kutoka Msumbiji.
 
Umeandika ushabiki wa kitoto! Kwaheri!
 
Umtoe Founder kwenye taasisi serious
Mbowe sio Founder.
Ni Msanii kama Pierre Liquid.
Mwaka 1995 ,Mbowe akiwa kijana mdogo anayeuza unga kama walivyokua wanauita. Aligombea Ubunge jimbo la Hai .Alitumia zaidi ya mil. 200 wakati huo kama rushwa . Taarifa za uhakika zilikua zinazagaa mitaani kuwa kijana ambaye alikua zungu la unga anagawa hela kama karatasi tu; Kipindi hicho hapakua na dafatari la mpiga kura zaidi ya kuchovya kidole kwenye wino baada ya kupiga kura.
Hata hivyo alishindwa kupata ubunge.

Nafikiri Mbowe ametumia fedha nyingi sana sio kukijenga Chama Bali kujijenga kama alivyokua anafanya Lowasa.
Sasa wasiomjua Mbowe kuanzia kule kijijini wanamuona kama Mkombozi wa walevi na wazinzi kumbe ni Msanii anayetaka kuimba kwenye Club ili anunuliwe pombe.
 
Tumeshanyatwa na nyota kila jani likitugusa tunakimbia. TUNAYE LISSU WETU. THIS TIME HATUNA KUKOPA MGOMBEA.
 
Tatizo Chadema wengi hamjui kitu mnachafua watu bila sababu kama Mlivyomchafua Kinana baadae makamuomba Msamaha.
Ndio maana Mh . Rais anapiga marufuku mikutano yenu ya walevi ya kuchafua watu na kuzusha.

Hivi unajua kuwa Lazaro Nyalandu ndiye akiwa waziri wa Mali asili ndiye aliyeleta ndege na zile drone za kufanya doria kulinda Wanyama wetu wasimalizwe na Wasomali waliokua wanashirikiana na watu ndani ya Hifadhi ?
Unajua kuwa Kabla ya Lazaro, askari wa wanayama pori hawakua wanatumia silaha za Kivita kama AK 47 bali walitumia Short Gun kama wawindaji matokeo yake Majangili yaliyokua na Silaha za kivita walikua wanaingia Kwenye hifadhi kama ukumbini na kuua wanayama wetu??
Unayajua hayo au umepewa Konyagi na Mbowe unabaki kutokana watu walioliletea taifa letu sifa kubwa lakini wakachafuliwa kwa sababu ya woga wa Makundi ya urais ndani ya CCM.
Nyarandu ndiye aliyebadili mfumo nzima wa mafunzo ya askari wa wanayama pori na kuwa mfumo wa kijeshi na kuletewa silaha mpya kabisa za AK 47 na magari ya Land Cruiser na ndipo askari wetu walipoanza kuwazidi nguvu Majangili.
Ulikua unayajua hayo?

Serikali ya JK ilifanikiwa sana kujenga Majeshi yetu katika zana za kivita ndio maana awamu ya Tank haikupata shida kwenye suala la ulinzi.
Nchi ni majeshi kuwa imara. Usione vinaelea ujue vimeundwa.
Kumbuka wakati ule alivyomnyanyua yule askari mdogo wa wanayama pori aliyekua mahiri katika matumizi ya Silaha na mbinu za kivita ,walevi kwa makengeza yao wakabaki kusema eti amemshika Mwanamke na kumbeba badala ya kueleza tukio zima wakabaki wanasambaza picha bila maelezo.

Kabla ya awamu ya Tano vita dhidi ya Majangili ulikua Kali sana lakini makundi ndani ya CCM na Uhuru wa Bunge ulisababisha ile vita ikashindwa mana tume zilikua zinaundwa kila siku kuiwajibisha serikali kwa matumizi ya nguvu kupita kiasi .
.Unakumbuka Operation Tokomeza ujangili ilianza lini ? Au mnakua vipofu kwa kuvaa miwani??
Unakumbuka nini kilitokea baada ya Majangili kuwa yanauliwa kama kumbikumbi wakati wa kiangazi. ??
Bunge liliunda Kamati na mawaziri walijiuzulu wa wizara zaidi ya tatu walilazimishwa na Bunge wajiuzulu.

Hali hii ya wapinzani kuzusha jambo na kupaka watu matope ndilo lililopelekea Awamu ya Tano kudhibiti Bunge,vyombo vya habari na wanasiasa walevi wanaochafua watu huku wakitumia Bunge na vyombo vya habati kupata umaarufu kwa kuchafua watu.

Kwa siasa hizo za maji taka Bora Magufuli atawale mpaka miaka 40 yaani vipindi nane ili tujenge siasa za kistarabu.
 

Kwa msiomjuwa Nyalandu yani yeye anajuwa kabisa hatakuwa Rais na wala Chadema haitachukua nchi ila kwenye hii process ya kampeni yeye ndiyo anapopiga hela kwa support anayopata kwa marafiki wa ndani na nje ya nchi.Kwa posotion aliyoshika serikalini especially Ministry of Tourism he made a lot of friends hivyo anapata sana support.Kwahiyo yeye amekaa ki sport mpaka mwezi october
 
Nyalandu ana connection kubwa sana worldwide ivo anatumia huu uchaguzi kupata funds tu za kwake binafsi
Na kichache ndio icho na kitumia kuonesha hao wafadhili wake kuwa Anataka dola ila hata akipeperusha bendera ya CDM ni ngumu sana kushinda
 
Nyalandu ni mtia nia hajawa mgombea.

Mleta uzi usipotoshe, kuna tofauti kati ya kutia nia na kuwa mgombea.
 
Umenena ndiyo maana huyu Nyarandu anatia Nia kwa kiburi cha speed ya Lami

Nyalandu hata akichaguliwa atazidi kuimarisha maamuzi yetu ya kutokupiga kura. Lisu ndio chaguo letu hata akiwa amefungwa. Hapa ni mambo ya kipenda roho.
 
Amerudi kabla ya 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…