Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,036
- 9,331
Nyerere alipounganisha Tanganyika na Zanzibar alikosea kwenye assumption yake ya " HIVI TANGANYIKA KWELI INAOGOPA KUMEZWA NA ZANZIBAR?".
Sasa watanganyika wameanza kuogopa kumezwa na Zanzibar, wameanza kuhofia uwakilishi kutoka Zanzibar kwenye serikali ya muungano usiozingatia ukubwa wa maeneo ya uwakilishi na wingi wa watu.
Wazanzibar nao wameendelea kudai share kubwa katika pato la muungano kuzidi hata uwiano wa watu wa nchi hizi mbili.
Kama Inakusudiwa muungano uendelee kuwa katika hali hii iliyopo sasa ya serikali mbili, ninawasiwasi kwamba huu muungano hauna muda mrefu.
Suluhisho la muungano ni Serikali moja, na wala siyo serikali tatu, serikali tatu itakuwa mzigo kwa Tanganyika.
Suluhisho jingine ni muungano kupitia EAC, kwa hiyo tunaweza kuvunja muungano wa sasa, kisha tutakutana huko kwenye EAC, ambako lengo mojawapo ni political federation siku moja.
Sasa watanganyika wameanza kuogopa kumezwa na Zanzibar, wameanza kuhofia uwakilishi kutoka Zanzibar kwenye serikali ya muungano usiozingatia ukubwa wa maeneo ya uwakilishi na wingi wa watu.
Wazanzibar nao wameendelea kudai share kubwa katika pato la muungano kuzidi hata uwiano wa watu wa nchi hizi mbili.
Kama Inakusudiwa muungano uendelee kuwa katika hali hii iliyopo sasa ya serikali mbili, ninawasiwasi kwamba huu muungano hauna muda mrefu.
Suluhisho la muungano ni Serikali moja, na wala siyo serikali tatu, serikali tatu itakuwa mzigo kwa Tanganyika.
Suluhisho jingine ni muungano kupitia EAC, kwa hiyo tunaweza kuvunja muungano wa sasa, kisha tutakutana huko kwenye EAC, ambako lengo mojawapo ni political federation siku moja.