Kwanini makampuni ya simu yanatoa magawio?

Kwanini makampuni ya simu yanatoa magawio?

gcmmedia

Member
Joined
Jul 19, 2024
Posts
34
Reaction score
75
Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.

Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.

Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?

Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).

Naombeni elimu juu ya masuala haya.
 
Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.

Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.

Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?

Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).

Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Precision, Kenya airways, Ethiopian airlines tuna Loyalty card
 
Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.

Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.

Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?

Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).

Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Mimi nmetumiwa 16k juzi nmeshtuka kuona ni toka tigo gawio chap nkanunua zngu umeme
 
Bado jibu halijapatikana,
 

Attachments

  • Screenshot_20240922-180424_Messages.jpg
    Screenshot_20240922-180424_Messages.jpg
    77.5 KB · Views: 4
Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.

Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.

Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?

Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).

Naombeni elimu juu ya masuala haya.

Katika vitu naona havina umuhimu ni hili wanaita gawio kwa wateja
Fikiria umetumia simu mwezi mzima kwa huduma za simu na pesa unawekewa shs 170, ukizingatia wametuma hilo gawio pengine kwa wateja Mil moja; ni hela nyingi sana kwa pamoja; Natamani wangezikusanya zote watoe msaada kwa vituo vya watoto yatima na kwa watu wenye mahitaji maalum. Ingekuwa ni faraja sana kwa wahitaji lakini pia, sadaka nzuri sana kwa watumiaji wote wa simu....
 
Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.

Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.

Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?

Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).

Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Una hasira kwa sababu kigawio chenyewe hakina maana yoyote zaidi ya ujinga. Ungeingiziwa 5m/- hope ungepongeza japo kimya kimya.

Eti gawio la sh. 316 for months! They should stop those nonsense lies!
 
Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.

Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.

Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?

Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).

Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Tigo jana wamenipa elfu 24
 
Sijawahi kupewa zaidi ya 700 na ninafanya miamala mingi tu kwa mwezi..huwa nawaza kwa nini wasizikusanye zote tu wakawapa watu wenye uhitaji au wakadonate kwa jamii kuliko kumpa mtu gawio la shilingi mia 7.
 
Magawio yao ya kipuuzi sana ,mimi nafanya miamala ya kutosha lakini gawio wanalonipa ni ya kijinga sana ,hata Bustisha nayo ni 70K.
 
Eti gawio sh 24 huwa inanikera.....
😂😂😂😂 Fanya miamala dear. Mimi huwa sio haba, Mara ya mwisho kagawio nilienda kukata kitambaa nkashona kagauni kangu freshh. IIa hela ya mashono haikutoka hapo😂😂😂
 
Back
Top Bottom