Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Weeeee kumbe???!!! Dah sijawahi pata hata sh 100 nyingi sana ni 67.ππππ Fanya miamala dear. Mimi huwa sio haba, Mara ya mwisho kagawio nilienda kukata kitambaa nkashona kagauni kangu freshh. IIa hela ya mashono haikutoka hapoπππ
Basi hapo ukute nimeamka usingizini nakutana na TIGOPESA umepokea nasmileee.....mara gawio sh 23 nasonya.