Precision, Kenya airways, Ethiopian airlines tuna Loyalty cardKuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.
Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.
Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?
Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).
Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Mimi nmetumiwa 16k juzi nmeshtuka kuona ni toka tigo gawio chap nkanunua zngu umemeKuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.
Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.
Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?
Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).
Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Gawio linategemea na miamala yako, Kuna watu wanapata Hadi 50k.Gawio lao sasa 😄
Ova
Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.
Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.
Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?
Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).
Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Una hasira kwa sababu kigawio chenyewe hakina maana yoyote zaidi ya ujinga. Ungeingiziwa 5m/- hope ungepongeza japo kimya kimya.Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.
Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.
Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?
Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).
Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Tigo jana wamenipa elfu 24Kuna nyakati naona jumbe kupewa gawio na mtandao wa simu, unakuta ni kama Sh 38 n.k.
Naomba kuuliza, mimi si mwanahisa wa kampuni ya simu yoyote, ni mteja tu.
Kwa nini wanajipa gawio? Kiasi cha gawio hutolewa kwa vigezo vipi?
Kampuni ya simu inalenga nini kutoa gawio kwa wateja wake (gawio si “kurudisha kwa jamii” - corporate social responsibility).
Naombeni elimu juu ya masuala haya.
Tigo niwezeshe wananikopesha hadi laki 8 kwa sasa mimi mkuu.Magawio yao ya kipuuzi sana ,mimi nafanya miamala ya kutosha lakini gawio wanalonipa ni ya kijinga sana ,hata Bustisha nayo ni 70K.
Duuh safi sana ,mimi ni 70k tu...na miamala nayofanya kwa mwezi 1m hadi 1.5m hela ya mkaa wanaingiza kwenye simu baadhi ya wateja wangu.Tigo niwezeshe wananikopesha hadi laki 8 kwa sasa mimi mkuu.
😂😂😂😂 Fanya miamala dear. Mimi huwa sio haba, Mara ya mwisho kagawio nilienda kukata kitambaa nkashona kagauni kangu freshh. IIa hela ya mashono haikutoka hapo😂😂😂Eti gawio sh 24 huwa inanikera.....