ππππ Fanya miamala dear. Mimi huwa sio haba, Mara ya mwisho kagawio nilienda kukata kitambaa nkashona kagauni kangu freshh. IIa hela ya mashono haikutoka hapoπππ
Gawio linategemea na miamala yako, Kuna watu wanapata Hadi 50k.
Kwa mfano mawakala wa kifedha huwa wanapata magawio makubwa kwa sababu line zao zinafanya transaction nyingi