Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Ila winnie alikuwa mzuri bana ,,na huyo mpofu mbona hb hivyoooo winnie alidata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiasi Chake mkuuUna experience nao ?
Grace hata huko kwao na Mandela huwa wanasema hawamtambui Mandela alilazimisha tu. Unajua wale wa sauz walumuona kama anafaidi sana ufesti ledi wakati hata haja uangaikia aliolewa Mandela akiwa tayari ni raisi wakati mwenzake Winnie aliteseka kweli.Niliona hata kwenye msiba Zuma ndiyo alikuwa anaongea nae, alikuwa mpweke sana.
Mandela amewaachia watoto wa Graca kila mmoja nyumba South na mshiko bank. Baba yao aliwaachia kila mtoto nyumba Moputo
Hapana. Kosa lilikuwa ni kuendelea kutafunwa baada ya mzee kuwa huru.
Dada mbona kiswahili fasaha kabisa hicho cha nukuu ya Mandela hakuna mahali amenyimwa kutombwa ila atombwe kwa siri hapa sasa usipo elewa tena sina namna nyingine ya kukufanya uelewe.27 years with no man,i can never judge Winnie...never......havent felt her shoes
Wangapi anakaa 27 yrs with no man?.??
IMAGINE!Najaribu kuwaza Winnie angefungwa 27 Mandela angekitembeza kiasi gani huku njee
Am sure angeoa mpya na kuzaa kabisaa
Siri miaka 27?..imagine another side of the coin Mandela angemsitiri mkewe for how longDada mbona kiswahili fasaha kabisa hicho cha nukuu ya Mandela hakuna mahali amenyimwa kutombwa ila atombwe kwa siri hapa sasa usipo elewa tena sina namna nyingine ya kukufanya uelewe.
Huyo mwanaume hayupo aiseeIMAGINE!
leo hapa kila mtu oh alikuwa Malaya!
miaka 27 NANI ANGEWEZA KUKAA ANASUBIRI MKE ?
Znasababisha majangaNyege hizi
Huwezi jua mwanamke au mwanaume ambayee Mungu ndiye amekupangia kuwa huyu ndo atakuwa wako, haijalishi kuwa wa kwanza.Siku zote wanatakiwa kujua mke wa kwanza ndo mwenye mapenz ya dhati na ndo atakae kuvumilia katika kila hatua ya maisha yako na Mungu nae anakubariki, Vijana kuhangaika hangaika ndo mwanzo wa kukumbana na mabalaa ya dunian..... bahati mbaya kaka zetu hawataki kulitambua hilo wakipata kidogo wanakimbilia warembo sasa unafikiri nitakupenda vipi wakati nilishakukuta na familia yako
Nafikiri issue kubwa ni baada ya Mandela kuwa nje. Fikiria wewe ni Rais wa nchi, unamzuia mkeo kwenda nje ya nchi na mtu ambaye mkeo anatuhumiwa kuwa ni hawara yake au aliwahi kuwa hawara yake.....mkeo anakubali kuwa hataambatana nae.snowhite said:IMAGINE!
leo hapa kila mtu oh alikuwa Malaya!
miaka 27 NANI ANGEWEZA KUKAA ANASUBIRI MKE ?
Mtaa wa Lumumba ni shida!mkuu unahangaika bure kumjibu,
hawa ndio vijana wenu wa lumumba mnao waandaa,
hata hajasoma habar yote kaomba summary then anasema umecopy na kupaste teh teh teh.