Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Kwanini maneno yasiyotamkwa mbele ya kadamnasi ya watu unayakuta katika kamusi ya Kiswahili sanifu? What's the logic behind all this?
Jaribu kutazama screenshots chache hapo chini.
Kama haya maneno si mazuri kutamkwa mbele za watu, kwanini yanatambuliwa kuwa ni maneno sanifu ya Kiswahili? Na;
Kama haya maneno ni sanifu katika lugha ya Kiswahili, kwanini ukiyatamka mbele ya kadamnasi ya watu utaambiwa umetukana/huna adabu au watu kupigwa na butwaa?
MATUSI yanafanya nini katika kamusi ya Kiswahili fasaha?
Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher - JamiiForums
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKOIPASAVYO.
Kwanini maneno yasiyotamkwa mbele ya kadamnasi ya watu unayakuta katika kamusi ya Kiswahili sanifu? What's the logic behind all this?
Jaribu kutazama screenshots chache hapo chini.
Kama haya maneno si mazuri kutamkwa mbele za watu, kwanini yanatambuliwa kuwa ni maneno sanifu ya Kiswahili? Na;
Kama haya maneno ni sanifu katika lugha ya Kiswahili, kwanini ukiyatamka mbele ya kadamnasi ya watu utaambiwa umetukana/huna adabu au watu kupigwa na butwaa?
MATUSI yanafanya nini katika kamusi ya Kiswahili fasaha?
Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher - JamiiForums
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKOIPASAVYO.