moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
Nakati maana yake nini mkuu?Nani asiehatarisha maisha kwaajili ya usalama nakati jukumu la ulinzi na usalama ni la kila raia? Na mbaya zaid wao wanalipwa kwa jukumu hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba hapo kwenye kizungu unaposema wao ni immortal kama watu wengine nadhani ulikusudia kusema they are not immortal.Usalama wa taifa ni watu wa kawaida tu. Hawana jambo lolote special na la kuogofya. They are just immortal like anybody else.
Kwa niaba ya wavuta bangi wote, namtaka huyu mtoa maada aje kwenye kamati ya maadili ya wavuta bangi, akidharau wito wetu atakuja kwa pingu. Ametudhalilisha sana😡Mkuu kwenye bangi hapo umeenda mbali sana kwani bangi inatatizo gani,tuachie mmea wetu hauna tatizo
kwani hii kazi wanafanya bure, daktari mara ngapi anafanya kuhatarisha maisha yake kwa magojwa ya kuambukizwa kwa usalama wa wananchi
wangekuwa wanafanyia bure, wangekuwa wameacha kazi zao tungewaona wa maana tofauti na hapo wanabaki waganga njaa kama sisi tu
Aise! Labda utakuwA unaongelea usalama Wa USAKazi zao ni zaidi ya ajira na ujira, ni uzalendo tu sio kipato, ukienda kwa lengo LA kipato utakimbia mwenyewe , Kiusalama ni taifa kwanza MTU baadae. Wale hawana chama na itikadi yao ni Taifa kwanza. Tuwape heshima yao tusiwabeze
Wewe una AKILI sana. Tena hawa usalama wa mataifa ya Afrika ndio hovyo kabisa. Yaani wanatumika na wanasiasa kama TOILET PAPER au CONDOM. Wanateka na kuua wananchi wenye mawazo tofauti na mabwana zao wanasiasa. Ni aibu sana kwa kweli. Hawalindi maslahi ya umma bali wanalinda maslahi ya mabwana zao wanasiasa.Usalama wa taifa ni watu wa kawaida tu. Hawana jambo lolote special na la kuogofya. They are just immortal like anybody else.
Tofauti pekee iliyopo na ambayo ni kama inawafanya waogopwe ni:
1. Siri ya Kazi zao.
- Hata Ku Klu Klux, Illuminati, Freemasons na secret societies nyingine wanatumia mbinu hii.
2. Wako Juu ya Sheria.
Anaweza kukufanya chochote, wakati wowote na usimpeleke popote.
Otherwise hakuna jipya lolote.
Is anybody else immortal ama sijakuelewa vyema?!Usalama wa taifa ni watu wa kawaida tu. Hawana jambo lolote special na la kuogofya. They are just immortal like anybody else.
Tofauti pekee iliyopo na ambayo ni kama inawafanya waogopwe ni:
1. Siri ya Kazi zao.
- Hata Ku Klu Klux, Illuminati, Freemasons na secret societies nyingine wanatumia mbinu hii.
2. Wako Juu ya Sheria.
Anaweza kukufanya chochote, wakati wowote na usimpeleke popote.
Otherwise hakuna jipya lolote.
Then nchi ya Marekani ina vilaza wengi sana, kwani majimbo 10 ambayo ni Alaska, California, Colorado, Maine, Massachusetts, Michigan, Nevada, Oregon, Vermont na Washington wameharalisha matumizi ya Bangi.Namaanisha huwa tunawafikiria kama ni watu wa kipekee sana, wakati mfano kibongo bongo wengi vilaza tu. Wanavuta mpaka bangi.
Bangi ya Marekani ni tofauti na ya hapa kwetu.Then nchi ya Marekani ina vilaza wengi sana, kwani majimbo 10 ambayo ni Alaska, California, Colorado, Maine, Massachusetts, Michigan, Nevada, Oregon, Vermont na Washington wameharalisha matumizi ya Bangi.
Typo. Nime-edit.Mzee baba hapo kwenye kizungu unaposema wao ni immortal kama watu wengine nadhani ulikusudia kusema they are not immortal.
Ulichoandika ni kuwa hawafi kama watu wengine kitu ambacho si kweli, hao wanakufa kila siku kama watu wengine.
Edited.Is anybody else immortal ama sijakuelewa vyema?!View attachment 996625
Africa hamna usalama waTaifa bali kuna magenge ya wahuni yanayomilikiwa na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
una vuta bhangi wewe, eti hawana uchana, eti wazalendo endelea na porojo zako huko huko ko hii nchi kuna familia,koo flani zina uzalendo kuliko nyingine.Kazi zao ni zaidi ya ajira na ujira, ni uzalendo tu sio kipato, ukienda kwa lengo LA kipato utakimbia mwenyewe , Kiusalama ni taifa kwanza MTU baadae. Wale hawana chama na itikadi yao ni Taifa kwanza. Tuwape heshima yao tusiwabeze
kama wanakesha kulinda hao watakuwa walinzi sio usalama wa taifaUsiwavunjie heshima wakati wanahatarisha maisha yao kwa usalama wa taifa lako na wewe mwenyewe. Hujui tu wakati wewe unapost upuuzi wao wanakesha ili uwe salama?
Kenge wee , tena chunga adabu yako .unadhani mi ni mtoto mdogo au ? , pimbi wewe hizi identity fake zisikudanganye unaeza kuwa unaongea na mzee wako , swine wewe
Back to the topic , we popoma umeongelea ulinzi hivi ni ulinzi gani unaoongelea kwa mfano hapa Tanzania , ulinzi wa kuteka na kuua watu nackuwatupa kwenye viroba , ulinzi wa kuvamia vituo vya habari ? , ulinzi wa kupiga watu risasi mchana kweupe na watekelezaji haeajakamatwa hadi leo ? ,
Hicho kichwa chako hakina akili ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeanza gahawa sasaNi rahisi kuamini hivyo kwakuwa kazi wanazofanikisha hazitangazwi, ni rahisi kuamini hivyo kwakuwa uo salama na unafurahia amani lakini hujui wanaoisababisha, Idara zetu za ulinzi na usalama ndilo jicho LA Afrika nzima na tegeo LA Umoja wa Mataifa , ukikua utaelewa.
Wapi juu ya Sheria toka lini? Fafanua mkuu wangu.Usalama wa taifa ni watu wa kawaida tu. Hawana jambo lolote special na la kuogofya. They aren't just immortal like anybody else.
Tofauti pekee iliyopo na ambayo ni kama inawafanya waogopwe ni:
1. Siri ya Kazi zao.
- Hata Ku Klu Klux, Illuminati, Freemasons na secret societies nyingine wanatumia mbinu hii.
2. Wako Juu ya Sheria.
Anaweza kukufanya chochote, wakati wowote na usimpeleke popote.
Otherwise hakuna jipya lolote.