Tetesi: Kwanini maofisa wa usalama wa nchi za Afrika wakimaliza utumishi kwenye idara zao wanaajiriwa kuwa maajenti wa CIA

Hata wahalifu nguli waliosumbua(most wanted) serikali zao huwa wanawaajili
 


ULITAKAAA WAAJIRIWE

#NIDA
 
Kwa niaba ya wavuta bangi wote, namtaka huyu mtoa maada aje kwenye kamati ya maadili ya wavuta bangi, akidharau wito wetu atakuja kwa pingu. Ametudhalilisha sana😡
naunga mkono hoja ndugu mwenyekiti
 
Kuna tofauti kubwa kati ya UWT na James Bond, tatito sisi tunadhani wapo sawa!
 
CIA haihitaji kutumia Waafrika kuzijua habari zao wao wanatumia vifaa vya mawasiliano na vya kielektroniki kama simu na tv ambavyo tunaitumia kuzijua habari zetu zote bila ya sisi kujua. Kumbuka technologia hii ya smartphone iligunduliwa na Wamarekani na pentagon walizuia isisambazwe kwa miaka kumi sasa wewe jiulize walikuwa wanafanya nini? Ki ukweli we are at their mercy!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…