Kwanini mapaja ya mwanamke yanavutia sana kwa wanaume?

Afu humu MMU kuna thread zina fananafanana,ni kwamba mtu anapata idea baada ya mtu kupost jambo fulani nayy akapata idea hiyohiyo au inakuwaje???
 
Huo nao ni mtazamo lakin hauna facts kwa asilimia zote.

Kwan kila mwanamme anachokitu kinachompendeza kwa mwanamke,

Kama,
Mwanya..

Dimpoz,

Macho,

Lips,

Mashavu,

Masikio,

Rangi ya ngozi,

Sura kwa ujumla n.k
 
Wanaume tunasisimka kwa kuona, wakati wanawake wanasisimka kwa hisia (ndio maana hadi umtomase ndio ashki zinaamka). Pia, Mungu ametuumba hivyo. Wanawake wanalijua hilo ndio maana huwa wanaweka mikoba mapajani wakiwa wamekaa ili kupunguza kuangaliwa sana.
 
Nenda mbali zaidi, vipange vyote vya mwanamke vinavyopagawisha wanaume, ili tujibu mada kwa mkupuo iishe.
Maana tukijibu ya paja mwingine ataibukia kwenye niples.
Sasa malizia kabisa kuzipanga tukujibu vizuri.
 
Pale kuna sumaku.
 
Afu humu MMU kuna thread zina fananafanana,ni kwamba mtu anapata idea baada ya mtu kupost jambo fulani nayy akapata idea hiyohiyo au inakuwaje???
KWamba unafikiri hii aidia ni mpyyaa...

Baada kuota nini kimetokea..!??
 
Mweee nashukuru langu kama mguu wa juma kaseja looo!
 
Huo nao ni mtazamo lakin hauna facts kwa asilimia zote.

Kwan kila mwanamme anachokitu kinachompendeza kwa mwanamke,

Kama,
Mwanya..

Dimpoz,

Macho,

Lips,

Mashavu,

Masikio,

Rangi ya ngozi,

Sura kwa ujumla n.k
chura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…