Kwanini mapaja ya mwanamke yanavutia sana kwa wanaume?

Elewa mwanaume huvutika kwa mwanamke kwa kuona, wakati ni tofauti kwa mwanamke ambae yeye ni kwa kusikia, hususani mambo mazuri ayatamkayo mwanaume.
Wewe ni KE!?
 

Ama kweli hiyo noma sana. Hadi kwapa?
 
Mapenzi yako yapo kwenye mapaja ndiyo maana unayaona hivyo unavyoyaona...


Cc: mahondaw

Tehtehteh
Halafu Nimekumbuka kitu Smart911 love.. Ila ntakuuliza kuleeeee Hapa [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]

Mtoa mada amemiss kuona mapicha picha tu
 


aisee we mkuu umeongea vitu vya kweli kabisa kama uliona nina waza nini embu ngoja niweke kiti izuri tuwasikilize wenye mapaja
 
mleta mada tuone kwanza mapaja yako halafu ndio tuchangie mada
 

Nadhani teknolojia inabadili mambo

Mie nikiona mwanaume smart yaani mambo safi nasisimka vibaya sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elewa mwanaume huvutika kwa mwanamke kwa kuona, wakati ni tofauti kwa mwanamke ambae yeye ni kwa kusikia, hususani mambo mazuri ayatamkayo mwanaume.
Ila sio kwa watoto wa 2000, wao hutamani kwa kuona pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…