Kwanini mapaja ya mwanamke yanavutia sana kwa wanaume?

Kwanini mapaja ya mwanamke yanavutia sana kwa wanaume?

Elewa mwanaume huvutika kwa mwanamke kwa kuona, wakati ni tofauti kwa mwanamke ambae yeye ni kwa kusikia, hususani mambo mazuri ayatamkayo mwanaume.
Wewe ni KE!?
 
kwapa nalo linaloanza kuchipua,kwangu mtihani....unakuta kwenye daladala mdada kakamatia bomba la juu na blauz yake ya kukata mikono..!!..hap kama nipo kwenye siti basi macho utadhani natolewa mapepo..... sio vizuri jamani..kutufanyia hivyo hiyo mipaja na ukwapa huooo.....

Ama kweli hiyo noma sana. Hadi kwapa?
 
Mapenzi yako yapo kwenye mapaja ndiyo maana unayaona hivyo unavyoyaona...


Cc: mahondaw

Tehtehteh
Halafu Nimekumbuka kitu Smart911 love.. Ila ntakuuliza kuleeeee Hapa [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]

Mtoa mada amemiss kuona mapicha picha tu
 
Kwasababu linafichwa

0b3d176bf889a834ebc32e0220da4443.jpg
cheki hilo
 
Mabibi na Mabwana wote mko huru kuchangia katika uzi huu....

Kuachilia chura.. Ila paja la mwanamke hutumaliza sana sisi wanaume..
Vaa uwezavyo ichonge chura uwezavyo...ila Paja halina mpinzani.

Swali ni kuna nini ktk paja la mwanamke!?
Hata kama binti kachoka vipi..paja halichoki, kuna nini pale!? Nisaidieni


aisee we mkuu umeongea vitu vya kweli kabisa kama uliona nina waza nini embu ngoja niweke kiti izuri tuwasikilize wenye mapaja
 
mleta mada tuone kwanza mapaja yako halafu ndio tuchangie mada
 
Wanaume tunasisimka kwa kuona, wakati wanawake wanasisimka kwa hisia (ndio maana hadi umtomase ndio ashki zinaamka). Pia, Mungu ametuumba hivyo. Wanawake wanalijua hilo ndio maana huwa wanaweka mikoba mapajani wakiwa wamekaa ili kupunguza kuangaliwa sana.

Nadhani teknolojia inabadili mambo

Mie nikiona mwanaume smart yaani mambo safi nasisimka vibaya sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom