Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kweli haya? Kwa hiyo zile ofisi Kurasini zimehamishiwa Dodoma??zSahau kuhusu hilo,unadhani kwanini baada ya serikali kuhamishia makao makuu Dodoma,kanisa katoloki nalo likahamishia makao makuu Dodoma?
HAKUNA MUISLAMU ASIYEJUA PADRE WA ROMAN WARAQA BIN NAWFAI NDIYE ALIYEMPA MOHAMED UTUME.
Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo PADRE WA ROMAN.
alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W).
Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu.
Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na inajulikana kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake. Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira.
Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W). Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W) na hivyo hakuwa mmoja wa Masahaba wake wa karibu.
aTangu nchi ipate Uhuru kutoka kwa Muingereza 1961 tumekuwa na marais 6; Mwl. Nyerere (Mkatoliki), Rais Mwinyi (Muislam), Rais Mkapa (Mkatoliki), Rais Kikwete (Muislam), Rais Magufuli (Makatoliki) na Rais Samia (Muislamu).
Hii inatokea kwa bahati mbaya tu au inapangwa, na kama ni kwa bahati mbaya tu hiyo bahati mbaya itaondokaje na kama inapangwa ni nani anapanga na kwanini?
Haya madhebu mengine ya Kikristo yana shida gani?
Kama una hobby ya kusafiri sana huwezi kukwepa hili. Hata swali ni moja tu, Utaifanyia nini RC?View attachment 2724992Na huyo Muislam lazima aitii mamlaka dunia ndivyo ilivyo
Una lengo la kusema wakatoliki wamepewa jukumu la kuwawakilisha wakristo wote pale Ikulu, au unataka kusemaje, wengine hawana akili?Rudia swali lako waislam nawakatoliki nini. Kwamaana hapo waislam hapo wapo lakini unamaanisha wakiristo hawapo Ila kunawakatoliki hapo sijajuwa wakatoliki umewaweka katika upagani au dini gani fafanua nakuja kukujibu
a
Ofisi kursn zimekuwa za mkoa,taifa zipo Dodoma.Ya kweli haya? Kwa hiyo zile ofisi Kurasini zimehamishiwa Dodoma??z
Stori za vijiwe vya kahawa hizo. Kwenye tamko juzi anuani inasoma kurasini.Ya kweli haya? Kwa hiyo zile ofisi Kurasini zimehamishiwa Dodoma??z
Za mkoa ? Kwamba unamaanisha kuwa kila mkoa RC ina ofisi za mkoa ?Ofisi kursn zimekuwa za mkoa,taifa zipo Dodoma.
nshawah msikia kuna muislam anakiri kwamba waislam nchi hii wachache kuliko upande wa pili.nyinyi mko pwani tu sheikh, punguza jazba bichwa flat
Kuna watu wanasema tuna mfumo kristo Tanzania but I think we are not, ila tuna mfumo wa kikatoliki.BAKWATA oriented muslim ndiye anatakiwa hapo,ukiwa unatoka kwenye ile stream inayopinga BAKWATA unaondolewa,the same applies to the second side ukiwa siyo mkatoliki jina lako lazima lienguliwe,mfano mzuri ni ule uchaguzi ambao ulimpelekea Hayati JPM kuwa raisi,nguvu kubwa sana ilitumika kumpiga chini Edward Lowasa,sababu ya kumuondoa kwenye kinyang'anyiro ilikuwa ni dhehebu lake yeye si mkatoliki.
huo ndo ukweli wanao huogopa sana hao wako pwani tu huku kwingine majanga tui
nshawah msikia kuna muislam anakiri kwamba waislam nchi hii wachache kuliko upande wa pili.
Swali ulilouliza kwanini wakatoliki na waislam ndio wanakuwa marais ndio Mimi nikaomba ufafanue lakini umeshidwa kufafanua au swali lako ulitaka kuuliza kwanini wakatoliki na wasuni ndio wanatoa marais tu hapa nchini? Kamaswali lako lilitakiwa kuuliza hivyo ndio nitachangia waislam pia kuna madhehebu mengiUna lengo la kusema wakatoliki wamepewa jukumu la kuwawakilisha wakristo wote pale Ikulu, au unataka kusemaje, wengine hawana akili?
Akitoka samia tunampa Mkkt kwanza ni wanyenyekevu hawana majivuno na wakatili kama wakatolikTangu nchi ipate Uhuru kutoka kwa Muingereza 1961 tumekuwa na marais 6; Mwl. Nyerere (Mkatoliki), Rais Mwinyi (Muislam), Rais Mkapa (Mkatoliki), Rais Kikwete (Muislam), Rais Magufuli (Makatoliki) na Rais Samia (Muislamu).
Hii inatokea kwa bahati mbaya tu au inapangwa, na kama ni kwa bahati mbaya tu hiyo bahati mbaya itaondokaje na kama inapangwa ni nani anapanga na kwanini?
Haya madhebu mengine ya Kikristo yana shida gani?