Kwanini Marekani inawasaka Waislamu waliowaita ISIS na kuwaua?

Kwanini Marekani inawasaka Waislamu waliowaita ISIS na kuwaua?

Hao watu wanaodai ni waislam wanapigana a losing battle kwa kisingizio cha kumpigania mungu wao anayeitwa allah.

Na kwa imani fulani fulani kwamba wakiuliwa kwenye vita hivyo watapata malipo fulani kwa huyo allah na ndipo wanashawishika kupigana hadi hayo mauti yanawakuta.

It's a fallacious conviction driven more by spurious religious bigotry whose aftermath is not palatable and results into such deaths as the one that has claimed the life of that jihadist Al Baghdadi.
Kwa nini Marekani ndo ijibu mapigo wakati hawa watu hawamo kwenye ardhi ya marekani? ,wako kwao na wanaanzihs hii resistance kwao .? si angeli waacha wenyewe wakaelewana? Mbona Kule outhern sudan Haendi kuumaliza ule ugomvi,yeye na nchi za waislamu tuuu? Kuna jambo lime jificha hapa,Hulioni?
 
Dini ni ujinga mtupu
Nalog off
Pumzi inakupa kiburi,lakini utajua tuu kuwa huna uwezo wa kumiliki hata Usingizi wako,na hujui ni wakati gani utaamka,na nini kinaendelea wakati ukiwa usingizini.
Jua Sasa ya kuwa yuko aliye kumiliki na anayekuendesha.
Na yeye huyo ana mamlaka ya kila kitu,,
wewe ni mtumwa tu wa Mawazo na nafsi,lakini ungelibadilika ukawa mtumwa wa aliye kuwezesha kuwepo hapa ulimwenguni ,ungekuwa na Furaha kubwa.Ungeliijuwa kweli yote.
 
Anyway huenda nimesahau na naomba radhi kwa hilo .ila kumbukumbu zangu nikuwa Walitaka muungano uvunjwe. Hebu tufuatilie
Pitia hii video utajua mengi
 
Nashangazwa sana na Dunia Hii ya leo,Haki imekuwa batili,Dhulma inaonekana kuwa haki

Damu za waislamu zimekuwa rahisi kumwagwa,kila mwenye kuuwa leo hujifunzia kwa waislamu.

Tumepandikiziwa makundi na misimamo ya ajabu halafu tumehalalishiwa kuuwawa.
Hapa kwetu tanzania,Ukiunga mkono Muamsho ambao walikuwa wana madai halali ya Muungano kuwa hauna maslahi na Zanzibar wame wekwa kizuizini na kuitwa Magaidi

Ukisema kuwa Waislamu hawapewi haki sawa na Wakrisrto Nchini katika ajira Unaitwa Mchochezi.

Huyu Abubakri al Baghdadi kule iraq Alianzisha Utawala wa Kigkalifa ambao uliungwa mkono na 2/3 ya wairaqi baada ya kuchoshwa na vita vya kisiasa nchini mwao.Hatimae DINIA NZIMA IMEWAELEMEA NA KUANZA KUWASAKA MMOJA MMOJA NA KUWAUA.

Ndani ya nchi yao,Marekani na Mashoga zake waitakianini mambo ya ndani ya nchi?
hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa.
Duniani leo kulikoni?

Mbona Damu za Waislamu zime fanywa kuwa Rahisi kumwagwa na halali?
kama wasipouliwa nine eleven , waste gate and other terror attacks will have this world fvucked up
 
ISIS kama Alqaeda walitengenezwa na USA kwahiyo kifo chao kinatekelezwa na USA, siasa ya dunia ni ya kihuni sana, Osama Bin Laden na Albagdad wamekufa kwa staili tofauti, soon utasikia kundi lingine linazaliwa na kusumbua Uarabuni hafu wataliuwa Amerika ni wajanja sana.
Kumbe USA aliwafundisha ISIS kukata vichwa vya wakristo na kuvinin'giniza juu,

Boko haram na Al shabaab kuunga mkono ISIS kumbe USA anahusika,

USA kumbe ndio huwatuma ISIS kushambulia Germany, Ufaransa, Canada USA kwenyewe nk.

Iraq, Syria, Turkey, Russia, Kurds nk wote hao wamepigana na ISIS ..kumbe marekan aliwatuma

USA inatumia billions of dollars kupambana na ISIS for what ikiwa wao ndio waliitengeneza ISIS

Waislam mna akili sana
Asalaam Aleikhum
 
Basi Marekani Nouma. Anaenda kwa waislamu na kuwafundisha tena quran na hadith wajiue na wawaue Waislam wenzao. Tena huyu huyu Marekani alivyo na roho mbaya anawafundisha muingie misikitni kabla hamjawUwa waislamu wenzenu ama kabla mjajilipua mseme allah AKBAR. Na Waislam hawa wamekubali kabisa kufanya hivi.

Dah Marekani ni nouma yani sheeda

Kwani hujui kuwa mfadhili mkuu wa masuala ya ugaidi ni USA? Anakutengeneza akikuchoka anakuuwa.
 
Kumbe USA aliwafundisha ISIS kukata vichwa vya wakristo na kuvinin'giniza juu,

Boko haram na Al shabaab kuunga mkono ISIS kumbe USA anahusika,

USA kumbe ndio huwatuma ISIS kushambulia Germany, Ufaransa, Canada USA kwenyewe nk.

Iraq, Syria, Turkey, Russia, Kurds nk wote hao wamepigana na ISIS ..kumbe marekan aliwatuma

USA inatumia billions of dollars kupambana na ISIS for what ikiwa wao ndio waliitengeneza ISIS

Waislam mna akili sana
Asalaam Aleikhum
Hii ina maana watu wanatumika kumalizana wenyewe kwa wenyewe
Fomer President Bush 2 aliwahi kusema mara tuu baada ya sep.11
''Tutahakikisha kuwa magaidi(akikusudia waislamu wa midle est) wanamalizana wenyewe kwa wenyewe kwenye nchi zao ili miji yetu ibaki kuwa salama"
Agenda hii ndo imo kazini hadi leo.
 
Hampati ajira coz wengi wenu hamjasoma sio kisa ubaguzi
Basi hata nafasi za kuteuliwa serikalini hakuna wislamu,ndo maana Baraza zima la mawaziri 90% wkristo watupu,na mabalozi hivyo hivyo!
Kusoma huko kwa kiwango gani ambapo waislamu hawajafikia?
Kwa maslahi ya taifa hili iko haja ya kulizingatia hili ili pasitokee mpasuko huko twendako.
Dalili ya mvua ni rasha rasha.
 
Basi hata nafasi za kuteuliwa serikalini hakuna wislamu,ndo maana Baraza zima la mawaziri 90% wkristo watupu,na mabalozi hivyo hivyo!
Kusoma huko kwa kiwango gani ambapo waislamu hawajafikia?
Kwa maslahi ya taifa hili iko haja ya kulizingatia hili ili pasitokee mpasuko huko twendako.
Dalili ya mvua ni rasha rasha.
Una shida kichwani!!!

Nini kinakufanya useme ni Waislamu au Si Waislamu?
 
Kwa nini Marekani ndo ijibu mapigo wakati hawa watu hawamo kwenye ardhi ya marekani? ,wako kwao na wanaanzihs hii resistance kwao .? si angeli waacha wenyewe wakaelewana? Mbona Kule outhern sudan Haendi kuumaliza ule ugomvi,yeye na nchi za waislamu tuuu? Kuna jambo lime jificha hapa,Hulioni?
Jambo gani na wewe wakati hata pale Somalia pia kuna ushahidi kuwa wamekuwa wakiwaua magaidi mara kwa mara.
 
Basi hata nafasi za kuteuliwa serikalini hakuna wislamu,ndo maana Baraza zima la mawaziri 90% wkristo watupu,na mabalozi hivyo hivyo!
Kusoma huko kwa kiwango gani ambapo waislamu hawajafikia?
Kwa maslahi ya taifa hili iko haja ya kulizingatia hili ili pasitokee mpasuko huko twendako.
Dalili ya mvua ni rasha rasha.
Unathibitishaje ukristo wao? Je, umewahi kusali nao kanisa gani au tayari ukiona mtu anaitwa Joseph au Mary kwa akili yako tayari ni mkristo hata kama hajawahi kukanyaga kanisani.

Tatizo lenu mnaamini kwamba jina ndio dini ambayo ni akili finyu sana.
 
waislamu msiingie kwenye mtego wa mleta mada, anachokifanya ni kuonyesha kuwa waislamu wanasikitika kuuwa kwa al baghdad na members wengine wa IS kitu ambacho sio kweli
 
Yaa akhy battawi saydina ali (r.a)asema mwamini Mwenyezi Mungu kisha baki na msimamo, pia asema ukitaka kujua kundi gani lipo sahihi tazama mishale ya maadui inapolekea kwa wingi. pia mtume Muhammad (s.a.w)asema watakaishi miongoni mwenu watashuhudia mengi namalizia pia kwa hadithi ya mjumbe wa Allah asema "zitakuja zama waislam watazungukwa na Maadui kila pande za dunia na kushambuliwa kama vile walaji wanavyokizunguka chakula cha sherehe kwenye sinia, maswahaba wakauliza yaa rasulullah ina maana kipindi hicho tutakua wachache rasulullah akajibu laaa mtakua wengi sana ila allah atatia wahan kwenye nyoyo za Waislam, Ewe ndugu yangu battawi nakupenda kwa ajili ya Allaah nakuhusia pamoja na kuihusia nafsi yangu juu ya jambo la kumcha allah kisha baki na msimamo wako. Al bagdad ni kiumbe kama viumbe wengine dini ni ya Allaah walikuwepo kabla yake yeye so usihuzunike ewe mjaa kaa kimya ndugu yangu hakika ushindi ni kwa waumini.
Hii ina maana watu wanatumika kumalizana wenyewe kwa wenyewe
Fomer President Bush 2 aliwahi kusema mara tuu baada ya sep.11
''Tutahakikisha kuwa magaidi(akikusudia waislamu wa midle est) wanamalizana wenyewe kwa wenyewe kwenye nchi zao ili miji yetu ibaki kuwa salama"
Agenda hii ndo imo kazini hadi leo.
 
ISIS kama Alqaeda walitengenezwa na USA kwahiyo kifo chao kinatekelezwa na USA, siasa ya dunia ni ya kihuni sana, Osama Bin Laden na Albagdad wamekufa kwa staili tofauti, soon utasikia kundi lingine linazaliwa na kusumbua Uarabuni hafu wataliuwa Amerika ni wajanja sana.
Badala ya kusema America ni wajanja sani, mbona usiseme Arabuni ni wajinga sana? Kama wewe umegundua kuwa wanatengenezwa, ina maana wewe na Marekani wote ni wajanja, ila mjinga ni yule asiyejua haya myajuayo ninyi wawili. Au waonaje?
 
Na pia ujue kua aya zilizomruhusu mtume (s.a.w) kupigana nyingi zilishuka madina na sio kwamba mtume hakua na nguvu laah hakupewa tu amri ya kupigana, pia kaa ukijua na kutambua kua linapokuja swala la imaan waislam hawapigani kwa wingi wao au ubora wa silaha wanapigana kwa kumtegemea allah pekee yake na hiyo ndio imaan ya kwel katika ushindi.
Nawewe anza kupigana ukimtegemea huyo Alah wako uone kitakachokukuta
 
Wewe mwarabu mweusi umefanya nini?
Nashangazwa sana na Dunia Hii ya leo,Haki imekuwa batili,Dhulma inaonekana kuwa haki

Damu za waislamu zimekuwa rahisi kumwagwa,kila mwenye kuuwa leo hujifunzia kwa waislamu.

Tumepandikiziwa makundi na misimamo ya ajabu halafu tumehalalishiwa kuuwawa.
Hapa kwetu tanzania,Ukiunga mkono Muamsho ambao walikuwa wana madai halali ya Muungano kuwa hauna maslahi na Zanzibar wame wekwa kizuizini na kuitwa Magaidi

Ukisema kuwa Waislamu hawapewi haki sawa na Wakrisrto Nchini katika ajira Unaitwa Mchochezi.

Huyu Abubakri al Baghdadi kule iraq Alianzisha Utawala wa Kigkalifa ambao uliungwa mkono na 2/3 ya wairaqi baada ya kuchoshwa na vita vya kisiasa nchini mwao.Hatimae DINIA NZIMA IMEWAELEMEA NA KUANZA KUWASAKA MMOJA MMOJA NA KUWAUA.

Ndani ya nchi yao,Marekani na Mashoga zake waitakianini mambo ya ndani ya nchi?
hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa.
Duniani leo kulikoni?

Mbona Damu za Waislamu zime fanywa kuwa Rahisi kumwagwa na halali?
 
Quran inasemaje juu ya hilo?
ISIS kama Alqaeda walitengenezwa na USA kwahiyo kifo chao kinatekelezwa na USA, siasa ya dunia ni ya kihuni sana, Osama Bin Laden na Albagdad wamekufa kwa staili tofauti, soon utasikia kundi lingine linazaliwa na kusumbua Uarabuni hafu wataliuwa Amerika ni wajanja sana.
 
Back
Top Bottom