Kwanini Marekani inawasaka Waislamu waliowaita ISIS na kuwaua?

Wanafanyiwa liwati umewaona?
 
ISIS kama Alqaeda walitengenezwa na USA ...
Kwa nini wanakubali kutengenezwa? Hawana akili ya kukataa kutengenezwa? Hawana hela hadi wakahongwa ili kutengenezwa? Kama majibu ni hapana, basi hapo Marekani haihusiki kutengeneza makundi ya kigaidi
 
Huyu jamaa wa uamsho alivyokamatwa,kuna siku alikua analalamika mbele ya hakimu kwamba huko gerezani walikua wanalazimishwa kukalia chupa ya soda mpk iingie yote kwny lile tobo na akaonyesha suruali kwa nyuma jinsi anavyovuja maji kwa nyuma.
Pitia hii video utajua mengi
 
Kwa nini wanakubali kutengenezwa? Hawana akili ya kukataa kutengenezwa? Hawana hela hadi wakahongwa ili kutengenezwa? Kama majibu ni hapana, basi hapo Marekani haihusiki kutengeneza makundi ya kigaidi
ILI ANDIKO LITIMIE ,NDO MAANA WANAKUBALI KUTENGENEZWA.
Kama Yua Iskariote,alivyonunuliwa, Kama Petro alivyomkana Yesu.
 
Marekani anachofanya ni kama Kunguru anavyowafanyia Panzi wanaopigana. Sasa Panzi waache ugomvi maana wanamrahisishia Kunguru kazi.
 
Ni kweli jina sio dini ila kawaida kwamba waislamu hutumia majina ya kiarabu na wakristo hutumia majina ya kizungu mara nyingi huwa hivyo ni nadra mzazi muislamu amwite mwanae John au mzazi mkristo amwite mwanae Muhammad.
 
Kwa nini wanakubali kutengenezwa? Hawana akili ya kukataa kutengenezwa? Hawana hela hadi wakahongwa ili kutengenezwa? Kama majibu ni hapana, basi hapo Marekani haihusiki kutengeneza makundi ya kigaidi
Hivyo utasema hapa Tz hatuna hayo makundi kwa sababu tuna akili ya kukataa ambayo waarabu hawana?
 
ISIS ni waislama wanyama tu kama nguruwe hao sawa na Alshabaab na Boko haram, wote ni wanyama sana
 
Jaribu ukione cha moto, uwahi mabikra 72 Shubamitt we!!
 
lakini Muamsho wao hawakuwa wakidai Utawala wa Kiislamu Zanzibar,bali walikuwa wakidai haki za kiraia kwa niaba ya wazanzibar na walikuwa wakiwashawishi viongozi wa nchi wapeleke madai yao.
Wewe hujui kitu kuhusu hao uamsho, aidha unakijua ila unajifanya kushangaa
 
Dini ni dawa ya kulevya
Watu wengi wameuawa in the name of God
Bora hata ya upagani
Watu wameuawa kwa jima la Mungu ni wengi kuliko hata waliouawa kwa magonjwa
 
Waulize marekani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Waulize marekani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MBON WANAPATA HASARA KUBWA KUWASAKA WATU WASIOKWISHA DUNIANI?
Kwa kuwa wao Marekani wanataka Raha za dunia,na wenzao Akina Baghdadi wanaitafuta Raha ya Akhera.
 
Salaf ukawa
 
Unafiq mbaya saaana Hawa ndiyo Aina ya watu tulionao Leo Al akhii hebu muache
 
MBON WANAPATA HASARA KUBWA KUWASAKA WATU WASIOKWISHA DUNIANI?
Kwa kuwa wao Marekani wanataka Raha za dunia,na wenzao Akina Baghdadi wanaitafuta Raha ya Akhera.
Mtu mgeni anakuja kwako anakushawishi ukamuue ndugu yako na wewe unachukua panga unamuua ndugu yako. Hapo nani mjinga? Endeleeni kuilaumu USA miaka 3000, middle east itakuwa chini ya USA. Iran pamoja na kujisifu kote bado ni mtoto sana kwa USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…