Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu nimejaribu kufuatilia nimepata majibu mengi nimeshindwa kujua lipi ni sahihi anayejua chanzo hasa anisaidie ntashukuru
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu nimejaribu kufuatilia nimepata majibu mengi nimeshindwa kujua lipi ni sahihi anayejua chanzo hasa anisaidie ntashukuru
Sababu kuu ni ile Vita Baridi/Cold War,upande mmoja wa Vietnam ulikuwa Socialist na mwingine Capitalist so Marekani alienda kupigana vita kuzifanya Vietnam zote North na South ziwe upande wake wa Capitalist.
Sababu kuu ni ile Vita Baridi/Cold War,upande mmoja wa Vietnam ulikuwa Socialist na mwingine Capitalist so Marekani alienda kupigana vita kuzifanya Vietnam zote North na South ziwe upande wake wa Capitalist.