uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Si mwaka huu huu Man City SC "Mwacity" alituhumiwa makosa 101 pale UK tokana na kanuni za Financial Fair Play "FFP"?Kwenye mechi za UEFA hivi vilabu vimekuwa vikirushiwa dollars za bandia na dhahabu za bandia uwanjani kuashiria kuwa sio timu za mpira
Mashabiki wamekuwa wakizilenga hizi timu kwa kuzifanyia ubaguzi
Je mashabiki wapo sahihi kwamba hizi timu zimekosa vigezo vya kuitwa football teams?
Timu zenye mafanikio ya shortcutKwenye mechi za UEFA hivi vilabu vimekuwa vikirushiwa dollars za bandia na dhahabu za bandia uwanjani kuashiria kuwa sio timu za mpira
Mashabiki wamekuwa wakizilenga hizi timu kwa kuzifanyia ubaguzi
Je mashabiki wapo sahihi kwamba hizi timu zimekosa vigezo vya kuitwa football teams?
No Labda sifahamuKuna Girona pia wanakuja mdogo mdogo.