uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Kwenye mechi za UEFA hivi vilabu vimekuwa vikirushiwa dollars za bandia na dhahabu za bandia uwanjani kuashiria kuwa sio timu za mpira
Mashabiki wamekuwa wakizilenga hizi timu kwa kuzifanyia ubaguzi
Je mashabiki wapo sahihi kwamba hizi timu zimekosa vigezo vya kuitwa football teams?
Mashabiki wamekuwa wakizilenga hizi timu kwa kuzifanyia ubaguzi
Je mashabiki wapo sahihi kwamba hizi timu zimekosa vigezo vya kuitwa football teams?