Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Hapo pakwenye "point zao hazihesabiki" ndipo kwenye ukakasi hapo!Umeambiwa kwamba point zao hazihesabiwi sasa waje wafanye nn
Wakitaka washiriki, point zao zihesabike lasivyo wasishiriki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo pakwenye "point zao hazihesabiki" ndipo kwenye ukakasi hapo!Umeambiwa kwamba point zao hazihesabiwi sasa waje wafanye nn
Kuna sehem nimeona kwamba mpaka marefa wao baadhi watashiriki pia.Wangetuletea na marefa wao ingekuwa vizuri kwani kina Aragija wangepata darasa
Zaidi zaidi hapo ni kuwachosha tu wachezaji.Hakuna ushindani watakaongeza kwasababu point zao hazihesabiki, Al Hilal ni kama watakuwa wanacheza za kirafiki tu hakuna la maana.
Kuna vitu ambavyo wanaona upuuzi, yaani kila wikiendi timu fulani inacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Al Hilal, je Al Hilal atakuwa ndiye anayewafuata hizo timu kucheza nao mechi za kirafiki au ndio timu inatoka Bukoba inasafiri kwenda Dar kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Al Hilal? Usiriaz hautakuwepo kwenye mechi dhidi ya Al Hilal kwasababu hata ukifungwa au kushinda hakuna maana.
Mkanganyiko upi?Kuihusisha hiyo timu kwenye ligi yetu ni upuuzi na pia ni uwendawazimu. Kiufupi haileti mantiki hata kidogo. Na hicho kitendo hakina manufaa yoyote yale kwenye ligi yetu. Zaidi tu kitaleta mkanganyiko mkubwa.
Point zao ziisabiwe sasa, sio kishiriki tu.Waje tu hata na Al Mareickh. Waje na points zao za CAF. Washiriki ligi kikamilifu. Tuingize CAFCL timu nne. Tuuze haki za matangazo ya mechi zao kwenye TV za Sudan etc.
Kuna fursa ya kupiga mpunga hapa.
Atawapiga vibendi?kuna siku moo ataweka mimba wote kwanzia mangungu,try again,hamed ally na nyie mashabiki mchwara
Yah, washiriki kikamilifu.Point zao ziisabiwe sasa, sio kishiriki tu.
Tff wamesema marefa wa Sudan walioko tz kwa Sasa watashirikiWangetuletea na marefa wao ingekuwa vizuri kwani kina Aragija wangepata darasa
Sudan kuna tv? We unazungumzia sudan ya mwaka gani?Waje tu hata na Al Mareickh. Waje na points zao za CAF. Washiriki ligi kikamilifu. Tuingize CAFCL timu nne. Tuuze haki za matangazo ya mechi zao kwenye TV za Sudan etc.
Kuna fursa ya kupiga mpunga hapa.
Kagera akija dar kucheza na kmc ndio hapo hapo anacheza na Al hilalYaani Kagera sugar atoke Kagera aje dar kucheza friend mechi ya Al Hilal?. Hivi Tff na bodi ya ligi Wana akili timamu kabisa?. Ni upuuzi wa kiwango Cha juu.
Kweli kabisaAtawapiga vibendi?
Kwani mna ugomvi gani na al hilal?Kuihusisha hiyo timu kwenye ligi yetu ni upuuzi na pia ni uwendawazimu. Kiufupi haileti mantiki hata kidogo. Na hicho kitendo hakina manufaa yoyote yale kwenye ligi yetu. Zaidi tu kitaleta mkanganyiko mkubwa.
Wanakuja na marefa wao bila shakaWangetuletea na marefa wao ingekuwa vizuri kwani kina Aragija wangepata darasa
Ndo mana wameomba,acheni roho mbaya,mbona al mereikh wamekubaliwa libyaHakuna ushindani watakaongeza kwasababu point zao hazihesabiki, Al Hilal ni kama watakuwa wanacheza za kirafiki tu hakuna la maana.
Kuna vitu ambavyo wanaona upuuzi, yaani kila wikiendi timu fulani inacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Al Hilal, je Al Hilal atakuwa ndiye anayewafuata hizo timu kucheza nao mechi za kirafiki au ndio timu inatoka Bukoba inasafiri kwenda Dar kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Al Hilal? Usiriaz hautakuwepo kwenye mechi dhidi ya Al Hilal kwasababu hata ukifungwa au kushinda hakuna maana.
Unadhani sababu wanapigana ndiyo hawaangalii TV wala hawafanyi biashara?Sudan kuna tv? We unazungumzia sudan ya mwaka gani?
Jamani hata ndugu zao katika imani wanawakataa(waislam wote ni ndugu)Nimepita mtandaoni, nikifuatilia maoni ya wadau mbalimbali kuhusu Al Hilal ya Sudan kushiriki ligi yetu ya NBC mwakani, wengine wameona ni jambo zuri kwa club hiyo ya kimataifa ya Sudan kuja kuongeza ushindani kwenye ligi yetu.
Lakini kwa mashabiki ambao wako mrengo wa Yanga nineona wakipinga vikali hili jambo. Nashindwa kuelewa sababu, mashabiki wa Yanga kwa nini hawataki? Hawataki timu za kimataifa? Wanaichukia Al Hilal? Al Hilal iliwafanya nini?