Kwanini Mashoga walichagua Rainbow color kama no kiwakilishi change bendera Yao?

Ngoja wahusika wakuje


Sent from my iPhone 5s using JamiiForums mobile App
 
Ngoja Nika Google kwanza nawahaidi nakuja na majibu na Mimi nimejiuliza mda mrefu
 
Ngoja nikae siti ya mbele nisubiri wajuvi wafunguke...
 
Tatizo umetaka mashoga wakupe sababu, ungeitaji kutoka kwa watu wengine pia huwenda ungezipata zaidi mkuu


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
edukesheni haina mwisho kweli, sikujua hili kabla ila ndege JOHN amehaidi majibu nayasubiri.
 
Duh Sijui sikuwahi kuwauliza, Nilifanya nao kazi Sana tu. Wana organizations zao hata Huko Dar

You are strong than what you think...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…