Kwanini MASHOGA wengi hupenda kufunga Kifungo cha juu cha Shati?

Kwanini MASHOGA wengi hupenda kufunga Kifungo cha juu cha Shati?

Habarini Wakubwa?

Binafsi sijawahi nivaapo Shati sijawahi kabisa kufunga vifungo vyote vya shati hasa cha shingoni pale, lakini cha ajabu nimewaona MASHOGA wengi wavaapo mashati hufunga vifungo vyote mpaka cha shingoni huwa sielewi wanaanisha nini au ndio moja ya Identity yao?
mkuu hayo mapigo ya vifungo juu ya wachungaji hayo kwamba nao.......... ndo tuseme....
 
mkuu hayo mapigo ya vifungo juu ya wachungaji hayo kwamba nao.......... ndo tuseme....
cjui kama kuna ukweli juu ya hizi habari naomba ajitokeze shoga hata mmoja atupe ukweli juu ya hili kwan humu jf hakuna makaka poa
 
Habarini Wakubwa?

Binafsi sijawahi nivaapo Shati sijawahi kabisa kufunga vifungo vyote vya shati hasa cha shingoni pale, lakini cha ajabu nimewaona MASHOGA wengi wavaapo mashati hufunga vifungo vyote mpaka cha shingoni huwa sielewi wanaanisha nini au ndio moja ya Identity yao?
Kwanin unawafuatilia razima naww utakua unavutiwa na jinsia yako!!straight men do not concern about gay but concern about women
 
Mkuu wanajiheshimu hawataki kuexpose manyonyo yao sio kama kina dada zetu mtaani.....
mmhhh!!!!,Upo serious kweli wewe???,Tangu lini Shoga akajiheshimu???,Kuwa Shoga tu Maadili na Utu wa Kibinadamu aliyekamilika vimeshatoweka sasa huko kujiheshimu kunakujaje???,Au ndo Mwamba ngoma huvutia kwake nini???,Yawezekana huyu naye ni walewale.
 
Ya ngoswe muachie ngoswe....kuanza kuwajadili hao ni kuonesha kuwa tunashughulishwa na uwepo wao...
Kweli kabisa mkuu!!!,hawa jamaa ni kuachana nao kabisa,tunapowajadili mara kwa mara wanapata credit kwamba ni watu wa muhimu kumbe sivyo maana wanapolute maadili ya jamii zetu.
 
Hahaha napiga picha shoga mzee inakuwaje...... yaan kababu kanatinduliwa
 
Mi cjawahi kumwona shoga unawez weka picha pliz
DSC_0523.JPG
 
inasemekana Mandela alkuwa na tattoo mwil mzma alzchora akiwa gerezan
Kila mtu anasema lake, Wengine wanasema alikuwa anawala ndogo Maafisa magereza ndo maana akaugua Kansa ya Kibofu.
 
Habarini Wakubwa?

Binafsi sijawahi nivaapo Shati sijawahi kabisa kufunga vifungo vyote vya shati hasa cha shingoni pale, lakini cha ajabu nimewaona MASHOGA wengi wavaapo mashati hufunga vifungo vyote mpaka cha shingoni huwa sielewi wanaanisha nini au ndio moja ya Identity yao?
Sasa utawatambuaje kuwa ni wauza 0713?
 
Back
Top Bottom