ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kisaikolojia ikoje?
Unakuta mtu amepambana kivyake Sasa amejipata.
Kipindi anapambana kutafuta mtaji, connection na ramani, watu wanakuona tu.
Sasa ukianza kuinuka kupata japo kidogo uhakika wa watoto kwenda shule vita inainuka.
Utaitwa jambazi.
Utaitwa muuza madawa ya kulevya.
Utaitwa shoga.
Utaitwa freemason
Na uzushi mwingi ili mradi ionekane ridhiki yako haina uhalali wowote.
Alikuwapo mwanasiasa aliita wananchi wanyonge na alijisifu kuwafirisi wafanyabiashara kama Manji na kutumbua ili awafurahishe Watanganyika mbumbumbu na hakika walifurahi Kwa unafiki wao.
Utaanzisha kabiashara kadogo diwani na masikini wengine wavivu wakuletee watu wa TRA, sijui jiji, TMDA, fire n.k yani tu ushindwe biashara ufunge.
Na watakaa kijiweni wafurahi.
Tubadilike Watanganyika mbumbumbu na wanyonge
Unakuta mtu amepambana kivyake Sasa amejipata.
Kipindi anapambana kutafuta mtaji, connection na ramani, watu wanakuona tu.
Sasa ukianza kuinuka kupata japo kidogo uhakika wa watoto kwenda shule vita inainuka.
Utaitwa jambazi.
Utaitwa muuza madawa ya kulevya.
Utaitwa shoga.
Utaitwa freemason
Na uzushi mwingi ili mradi ionekane ridhiki yako haina uhalali wowote.
Alikuwapo mwanasiasa aliita wananchi wanyonge na alijisifu kuwafirisi wafanyabiashara kama Manji na kutumbua ili awafurahishe Watanganyika mbumbumbu na hakika walifurahi Kwa unafiki wao.
Utaanzisha kabiashara kadogo diwani na masikini wengine wavivu wakuletee watu wa TRA, sijui jiji, TMDA, fire n.k yani tu ushindwe biashara ufunge.
Na watakaa kijiweni wafurahi.
Tubadilike Watanganyika mbumbumbu na wanyonge