Kwanini Masoko yanaungua usiku tu?

Kwanini Masoko yanaungua usiku tu?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa nilizonazo ni kwamba Masoko yote haya yanayowaka huwa yanaungua Usiku tu, wala hatujawahi kusikia kuna mahali moto umewaka mchana ukazimwa kwa vile watu hawakulala.

Kama kweli moto huu unatokana na ajali tu ama shoti za umeme, ni kwanini shoti au ajali hizo za akina mama lishe zitokee usiku pekee?
 
Kwasababu hakuna mishuguliko wala watu usiku hivyo tatzo linapotokea haligunduliki kwa haraka tofuti na mchana watu ni wengi inakua rahisi kuona tatzo na kulidhibiti
 
Kwasababu hakuna mishuguliko wala watu usiku hivyo tatzo linapotokea haligunduliki kwa haraka tofuti na mchana watu ni wengi inakua rahisi kuona tatzo na kulidhibiti
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom