Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Hili swali kuna mtu kaja kuniuliza nikashindwa kumjibu, what is it behind matajiri wanapokupatia pesa cash, kukuwekea kwenye bahasha ya khaki, anauliza kwanini wasikupatie tu mkononi.
Inaonesha alifanya kazi fulani akatakiwa kupewa cash, akapewa kwenye bahasha ya khaki, na yeye ni kama mtu asiyejiamini, alifikiri kuna namna za masharti ya kishirikina.
Kama kuna mtu alishakutana na hilo hebu atupatie uzoefu, na kama kuna tajiri hapa atufafanulie kama kuna ubaya wowote.
Inaonesha alifanya kazi fulani akatakiwa kupewa cash, akapewa kwenye bahasha ya khaki, na yeye ni kama mtu asiyejiamini, alifikiri kuna namna za masharti ya kishirikina.
Kama kuna mtu alishakutana na hilo hebu atupatie uzoefu, na kama kuna tajiri hapa atufafanulie kama kuna ubaya wowote.