Kwanini matajiri wengi wakubwa Tanzania ni Waislamu na sio Wakristo ambao asili yao ni kutoka kwa matajiri wa dunia?

Status
Not open for further replies.
Nilichokiona Mimi uislam una connection nzuri na majini na kwa story zilizopo jini likikubali linakupa chochote unachoomba mi nachoweza kusema utajiri wa waislam wengi una uhusiano mzuri na mambo ya majini compared na utajiri wa wakristo.
Kwa nini wakristo wasiwe na connection nzuri na Malaika wenye nguvu kuliko majini.
Mkuu unadhani majini yanaweza kuwa sababu pekee kweli.

Maana hata kabla ya ukristo na usilam majini tulikuwa nayo ya kutosha tu, tena mengine tukayarahisisha na kuyaita mizimy
 
Kuna watu hua wanaridhika mapema na kujiona wamesha win maisha,na kuna watu ambao wanajua kua maisha ni safari na pesa haina limit,

Huo utofauti ndio unafanya watu fulani wewe matajiri na wengine masikini,

Sijataja mtu wala dini wala kabila lolote.
 
nani alikunyima elimu? ulisoma wapi ukaambiwa wewe ni muislamu usisome? hayo matango pori mnayolishana huko madrasa ni hatari sana. Mfumo wenu ndio unawanyima elimu tambueni hilo.
 
Kuna watu hua wanaridhika mapema na kujiona wamesha win maisha,na kuna watu ambao wanajua kua maisha ni safari na pesa haina limit,

Huo utofauti ndio unafanya watu fulani wewe matajiri na wengine masikini,

Sijataja mtu wala dini wala kabila lolote.
nimekuelewa mkuu, umetoa kanuni. Napenda sana watu wanaoishi kwa kanuni.

Ila kutaja dini sio dhambi mkuu wala hatuvunjiani heshima.
Hizi Dini zetu lazima tuzijadili japo kwa hekima tusijeharibu upepo
 
Shule zimetuchelewesha sana,na zitaendelea kutuchelewesha,kuna jamaa zangu nilioanza nao primary walishindwa kuendelea na shule za kati na vyuo vikuu sababu ya uwezo mdogo wa nyumbani,saiv ni matajiri ukilinganisha na mimi niliyepotezwa na wazazi wangu kwa kufikiri wananipenda,kumbe ndio wananiangamiza,nimeishia kuajiriwa lkn maisha yangu ni ya kawaida sana nikijiringanisha na hawa miamba,i hate schools,kamwe kupitia shule kwa Africa ni nadra sana kufikia ndoto za utajiri,mia kwa mmoja!
 
Eleweni kuwa makanisa yanayojengwa siku hizi hujengwa na waumini na sio misaada na wazungu! Mashule ya kikristo pia hujengwa na taasisi za dini fedha zikiwa ni za waumini pia. Tumeshaacha kutegemea wazungu miaka mingi mno. tatizo mmekaa mnasubiri waarabu wawajengee misikiti na madrassa badala ya nyie kukusanya nguvu zenu. wake up you people, start to organize yourself!
 
Hata daladala zote za jijini Dar es salaam na magari "mabasi;" ya mikoani matajiri wao ni waislam tujifunze kitu hapa bila shaka kwenye mafundisho yao kuna vinasaba vya micro- economics
ila pia usisahau kujiuliza, kwanini watanzania weusi wenye kipato cha kati(middle income tanzanians) wengi wao ni wakristo na wa kipato cha chini wengi wao ni waislamu.

haihitaji tafiti za kisomi kulijua hilo.
 
MEKO anaamini vyeo ndio utajiri ndio mana kaamua kuwakomoa wachagga, hawapewi hata ulinzi kwenye shirika
Hakuna muajiriwa tajiri zaidi ya wizi au mwenye cheo.
Kama kweli atakuwa anafeli maana hata ukileta watanzania laki tano tajiri wote watakuwa waajiri au wawekezaji, muajiliwa tajiri hawezi kusimama kwa utajiri wa mishahara labda miradi mingine.
 
nani alikunyima elimu? ulisoma wapi ukaambiwa wewe ni muislamu usisome? hayo matango pori mnayolishana huko madrasa ni hatari sana. Mfumo wenu ndio unawanyima elimu tambueni hilo.
ameandika maungo kutafuta huruma mkuu.
Anajua kabisa elimu nyingi hasa hesabu zimeanzia uarabuni sasa ananyimwaje elimu.
Pia elimu(academic education) na utajiri havina uhusiano huo.
 
MEKO anaamini vyeo ndio utajiri ndio mana kaamua kuwakomoa wachagga, hawapewi hata ulinzi kwenye shirika
Acha kabisa kuleta mambo ya ukabila wewe , kuna watu wamegharamika sana kwenye nchi hi kuhakikisha tunakuwa wamoja bila ukujali makabila yetu, aliyekuambia wachaga wanakomolewa nani? usiongee kupata umaarufu humu JF,
 
Hata daladala zote za jijini Dar es salaam na magari "mabasi;" ya mikoani matajiri wao ni waislam tujifunze kitu hapa bila shaka kwenye mafundisho yao kuna vinasaba vya micro- economics
Nilichojifunza, huwezi kutenganisha uislam na biashara, maana hata waasisi wao walikuwa wafanyabiashara. Mwanamke wa kwwnza kusilimu ambaye wengine wanaamini ni muislam wa kwanza alikuwa ni mfanya biashara milionea.

Wengi wa wakristo, hatufundishi kanuni hizi wakati hata yesu alisema '' Fanyeni biashara hadi nitakapokuja''.
 
Mkuu naomba niweke historia sawa pia

Tajiri namba moja wa wakati wote ambaye mpaka anakufa utajiri wake haukuwahi kufikiwa na mtu yeyote mpaka leo duniani (dola trilioni 400) anasepa kwa jina la Alhaj Mansa kankan Mussa

Kwa hiyo wanaotia hoja ya uarabu hapa waitoe mara moja
 
Shida ya masikini siku zote huwaza kua tajiri kaupata utajiri wake kwa njia isiyokua ya halali,Hii hua ni njia ya watu masikini kujifariji tu na hakuna la ziada,huwezi kua tajiri kwa kumchukia tajiri.
 
Acha kabisa kuleta mambo ya ukabila wewe , kuna watu wamegharamika sana kwenye nchi hi kuhakikisha tunakuwa wamoja bila ukujali makabila yetu, aliyekuambia wachaga wanakomolewa nani? usiongee kupata umaarufu humu JF,
umeandika point.
huu ni umasikini mwingine wa kupingwa.
kwanza hapa hatuongelei ajira za serikalini, ni Business ambapo wachaga kama waislam wanafanya vizuri pia.
 
Hakuna muajiriwa tajiri zaidi ya wizi au mwenye cheo.
Kama kweli atakuwa anafeli maana hata ukileta watanzania laki tano tajiri wote watakuwa waajiri au wawekezaji, muajiliwa tajiri hawezi kusimama kwa utajiri wa mishahara labda miradi mingine.
Ndipo mumshauri.
MEKO kahakikisha wachagga wanafukuzwa CRB. BANDARI, TANESCO, BOT na sehemu nyeti kama TISS,kwenye ukuu wa majeshi pia.
Ameshindwa kuelewa vijana wa kilimanjaro ni ma fighter, wanatafuta maisha popote,wapo duniani kote, mkoa unaongoza kwa kuingiza fedha za kigeni a watoto wanatumia wazazi wao fedha.
Mkoa una waomi wengi kama vile bukoba na Mbeya.

cha kushangaza JIWE anataka kuwakomoa watu haawa ndani ya miaka yake 5, never!
 
mkuu nimeichukua.
kwa wakina Sundiata huko. Jamaa alikiwa muislam huyo mali empire
 
Nitakupa sababu moja kubwa sana na ukiweza, ifanyie utafiti.
"Waislam wanajua na wanafuata sana taratibu za kiroho".
1. Kumtolea Mungu zaka, wapo vizuri
2. Kusaidia wasiojiweza, wapo vizuri


Wakristo wengi ni wabinafsi sana kwa Muumba wao lakini na kwa binadamu wanaotuzunguka. Na hivyo tunapishana na Baraka ambazo Mungu alituwekea.
Mungu alipombariki Ibrahimu, alimpa baraka za aina mbili. Moja ni Mbaraka wake na ya pili ilikuwa ni Mbaraka wa wengine.
Na hata sasa, huwa Mungu anatuamini pia katika kutupa hizo baraka, lakini kwa sababu ya ubinafsi wetu, huwa tunashikilia hata vile vya wengine na hivyo hutokea Mungu kuachana nasi.

WaKristo tubadilike ili agano la Mungu liishi ndani yetu.

Naomba kusema hili, mimi ni MKristo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…