Kwanini matajiri wengi wakubwa Tanzania ni Waislamu na sio Wakristo ambao asili yao ni kutoka kwa matajiri wa dunia?

Status
Not open for further replies.
Matunduizi chukua hii point afu ufunge uzi wako hapa, usiendelee kutujazia severs za simu.

"Jiwekeeni hazina zenu mbinguni ambapo nondo hazitaota kutu kamwe"
Kuna watu hua wanaridhika mapema na kujiona wamesha win maisha,na kuna watu ambao wanajua kua maisha ni safari na pesa haina limit,

Huo utofauti ndio unafanya watu fulani wewe matajiri na wengine masikini,

Sijataja mtu wala dini wala kabila lolote.
 
Waislamu uliowataja wote wapiga dili na biashara haramu.
Mo huku mahakamani anaingia kwa jaji kama chooni, anaacha hela atakayo.

wengine naogopa kutaja mambo yao MEKO atalala nao mbele leo leo
ila we jamaa[emoji23][emoji23]
 
hapa bado wanatengeneza tatzo maana tutatoka kwenye utaifa ;mwarabu,mhindi n.k then tutahamia kwny ukabila,,,tunahtaji matajiri wa kitanzania na sio wa kisukuma
Tunajua hayo ndio maana tumeanza kutengeneza matajiri wa kisukuma.
Tumeanza na kuwapa uwaziri, ukuu wa majeshi, mikoa, ubunge wa kuteuliwa na ubalozi
 
Matunduizi chukua hii point afu ufunge uzi wako hapa, usiendelee kutujazia severs za simu.

"Jiwekeeni hazina zenu mbinguni ambapo nondo hazitaota kutu kamwe"
hahahaha
Hilo fungu linahusu Mbinguni mkuu. Baba wa Imani Ibra alikuwa bilionea lkn alikuwa na matrilioni ya hazina mbinguni hadi sisi tunamuiga.

Pia hata Yesu alisaidiwa Kaburi na mfuasi wake tajiri Yusufu wa armathaya. Hawa wakina sijui yakobo, Petro, Yohana wote walikuwa wameshalala mbele kwa sababu walitafsiri vibaya hiyo statement kama wewe

Shida sio hazina, shida ni kipaumbele.
 
Mkuu nimekuelewa.
Wakristo ndio mabingwa wa kuhamasisha utajiri lkn hakuna mkristo anajitolea hata 30 % ya mamilioninyake kwa Mungu.
Ni wachache sana alafu wakitoa wanataka kutawala hadi wachungaji na kanisa lote.

Ingawa natambua kuna waaminifu wachache
 
elimu waliyopewa ni ya ku "maintain status quo" na sio kuwa "self realized"
 
ila pia usisahau kujiuliza, kwanini watanzania weusi wenye kipato cha kati(middle income tanzanians) wengi wao ni wakristo na wa kipato cha chini wengi wao ni waislamu.

haihitaji tafiti za kisomi kulijua hilo.
Ulifanyia wapi utafiti wako? Au mpaka watu waanze ku flex na EVOQUE pamoja na ROLEX ndo waonekane matajiri? Ila all in all utajiri una definition tofauti kwa kila mtu.
 
mkuu haya majungu haya. maana yanahitaji uwe Tiss au ulishiriki hiyo michongo ya kuwatimua ili ujimwambafai hadharani na kauli hizi.

Ila pia kama kiongozi, yeye ajue anachokifanya na kitafuta wasaidizi anoona wanamfaa ili kutimiza malengo, hata akitaka Kukodi wachina wamsaidie kama Pinochet alivyokodi wasomi wa uchumi kutoka Chicago ni yeye tu.
Kibaya ni kutuzingua na kushindwa kutimiza lengo.

Turudi kwenye mada mkuu, Biashara
 
elimu waliyopewa ni ya ku "maintain status quo" na sio kuwa "self realized"
mkuu mbona wazungu ndio wanasoma hayahaya, na yametoka hukohuko.
Hata wabongo wakienda kusoma ulaya wakirudi hawana jipya. wanagombania ajira tu, hawezi hata biashara ya pipi
 
ila pia usisahau kujiuliza, kwanini watanzania weusi wenye kipato cha kati(middle income tanzanians) wengi wao ni wakristo na wa kipato cha chini wengi wao ni waislamu.

haihitaji tafiti za kisomi kulijua hilo.
Wengi wao wameibia serikali
 
nakubaliana na ww, shule inatupotezea mda lakn nmekuja kugundua kwamba wazaz huwa wanasisitiza shule kwa sababu wanaamini ndio njia pekee ya kupata maisha mazuri,, na hili jambo liko kimfumo zaid
 
Héla inaishia Bar n'a kitimotooo
hahahaha, mkuu mbona ulaya wanakunywa hadi kuoga na kula kitimoto lakini muislam na mwarabu anasalimu amri kwa wale mabeberu tajiri.
pombe zetu zina shida nadhani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…