Kwanini Matangazo ya Kuhimiza Watu kupima UKIMWI / DALLY KIMOKO yamepamba moto sana katika Media za Tanzania?

Kwanini Matangazo ya Kuhimiza Watu kupima UKIMWI / DALLY KIMOKO yamepamba moto sana katika Media za Tanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE nilipoikataa ile Ripoti ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mwaka Jana kuwa UKIMWI umepungua sana nchini Tanzania si mlijifanya Kutonielewa na mkamuunga mkono?

Kwa hali ya Maambukizi ilivyo mbaya sasa na Watu wanavyopukutika kila Uchao nadhani taratibu mtaanza kunielewa GENTAMYCINE na kuacha Kunibishia pale nikiwa na wasiwasi na taarifa / jambo fulani.

Ushauri wa bure kama kwa sasa una Mtaji wako na unataka kujikita katika Biashara inayolipa na itakayojulikana kwa haraka na Faida yako utaiona basi fanya ya Kuuza Majeneza, Misalaba na Sanda kwani kwa sasa VVU ( Dally Kimoko ) inanipukutishia Watu kwa Kasi kubwa na kila Siku.

Danganyweni tu kuwa hali ni nzuri ila kwa akina GENTAMYCINE ambao 24/7 Maisha yetu na Majukumu yetu ni ya Kukutana na Watu wa kila aina na kwa maeneo mbalimbali huku tukiwa na Marafiki walioko katika Maabara na Hospitali Kubwa, za Kati na za Kawaida tunajua jinsi hali ya Maambukizi ya UKIMWI / DALLY KIMOKO ilivyo mbaya na nikisema hali ni mbaya ninamaanisha kweli kweli.
 
UKIMWI upo ase,ee Mungu we tusaidie sisi waja wako.

Yaani kuna muda unakuwaa mahali halafu ukiangalia aina ya watu wanaotumia ARV a.k.a njugu unaona kabisa hapa kwa huyu demu hata mwanaume ungekuwa kavu kias gani,hata uwe makini kias gani ukimtongoza huyo demu na akakubalia naapa kabisa hakuna mtu hata mmoja atakumbuka hiyo kitu inaitwa kondomu wala hizo HIV rapid test kits.

Gentamycine,kongole sana kwa kutukumbusha sie binadamu wasahaulifu ase.

Ukimwi bado upo na unaua.
 
Hali ni tete kwa kweli, makopo ya dawa yanatupwa hovyo, makaratasi yale ya ndani yenye maandishi mengi kuelezea dawa hizo nayo yanapeperuka hovyo mitaani. Mbaya zaidi watu hawamalizii dozi wanatupa makopo yakiwa na masalia ya dozi kwa kuwa wamechukua mzigo mwingine.

Hayo makopo tumeshajua kilichomo ndani. Cha ajabu hatujui nani anatumia dawa hizo mitaani. Ila ustaarabu wa kutupa vidogo vilivyosalia uwepo sio kutupa hovyo tu kuna watoto wanaweza kuokota na kudhani ni pipi
 
GENTAMYCINE nilipoikataa ile Ripoti ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mwaka Jana kuwa UKIMWI umepungua sana nchini Tanzania si mlijifanya Kutonielewa na mkamuunga mkono?

Kwa hali ya Maambukizi ilivyo mbaya sasa na Watu wanavyopukutika kila Uchao nadhani taratibu mtaanza kunielewa GENTAMYCINE na kuacha Kunibishia pale nikiwa na wasiwasi na taarifa / jambo fulani.

Ushauri wa bure kama kwa sasa una Mtaji wako na unataka kujikita katika Biashara inayolipa na itakayojulikana kwa haraka na Faida yako utaiona basi fanya ya Kuuza Majeneza, Misalaba na Sanda kwani kwa sasa VVU ( Dally Kimoko ) inanipukutishia Watu kwa Kasi kubwa na kila Siku.

Danganyweni tu kuwa hali ni nzuri ila kwa akina GENTAMYCINE ambao 24/7 Maisha yetu na Majukumu yetu ni ya Kukutana na Watu wa kila aina na kwa maeneo mbalimbali huku tukiwa na Marafiki walioko katika Maabara na Hospitali Kubwa, za Kati na za Kawaida tunajua jinsi hali ya Maambukizi ya UKIMWI / DALLY KIMOKO ilivyo mbaya na nikisema hali ni mbaya ninamaanisha kweli kweli.
Mkuu ni wapi huko nilete majeneza?
Maana hapa Dodoma biashara sio kivile sana natamani nije huko ambako watu wanapukutika ili nifungue office huko labda ntapiga hela
 
hakuna kitu kinatisha kama usikie habari kama hizi halafu juzi umetoka kuuza mechi na mhudumu wa bar
 
mkuu hao wa hivyo usipeleke moto ,ni bora akuone hujui kitu
juzi nimecheza rafu ila sina wasiwasi nayo maana sikuweka maujuaji
Mkuu huyo demu ni fundi Bomba hatari, hata kama ungekuwa wewe lazima ungepeleka moto wa kibabe
 
Donors wameingiza mkwanja halafu watu wakae tu bila kuonesha jitihada kujustify fungu walilopewa limetumikaje. Mpango kazi wa kudhibiti ukimwi, magonjwa ya ngono na homa ya ini. kiufupi si pingi uhalisia wa jambo hili lakini naendelea kusisitiza ukiona manyoya ujiwe kaliwa.
 
USAid, JIKA, DANIDA, nk wameshaleta pesa? Ukiona kelele zinaanza ujue mpunga umemwagwa na hao donors.

Hapa katikati hakukuwa na hizi kelele as mirija ya donors iliminywa kiasi kwamba hakuna wa kufanya awareness.

Sie wa pekupeku kazi tunayo.
 
Naona kampeni ya Dec 1 ipo njiani ni siku mbili tu zimebaki, hivyo mpunga unaliwa sawa sawa ili wadhamini waone matangazo yanatolewa kikamilifu.
 
Back
Top Bottom