454
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 136
- 193
Habari wakuu wa humu JF,Mimi ni mnene sana Nina 105 kg nimepima Juzi.
Najitahidi sana kufanya Mazoezi lakini sipungui,Kwa kweli nauchukia unene kuliko kitu chochote na mbaya zaidi Nina kisukari nashangaa wagonjwa wenzangu wakipungua na wako na mwili mzuri.
Je Kwanini Mimi Mazoezi hayanisaidii?
Najitahidi sana kufanya Mazoezi lakini sipungui,Kwa kweli nauchukia unene kuliko kitu chochote na mbaya zaidi Nina kisukari nashangaa wagonjwa wenzangu wakipungua na wako na mwili mzuri.
Je Kwanini Mimi Mazoezi hayanisaidii?