HAhahhahaha mkuu umenichekesha sana eti anaenda kucheza chezaKwa kifupi ni kwamba hufanyi mazoezi yoyote wewe!!.....Mazoezi ya kupunguza mwili siyo kitu kirahisi kama kula pilau la xmas!!......Wewe unaenda kucheza cheza then unasema kuwa unafanya mazoezi???[emoji32][emoji32][emoji32]
Namii namtaka hyo dr.plz pm meMkuu kuna Dr ntakuunganisha nae nakupa guarantee utapungua kilo zitafika hadi 70 km utafata nasharti yake has a kwny chakula
Mkuu hakuna kitu kigumu kama kufanya mazoezi ya kupunguza mwili!!......Asilimia 99 huwa wanakata tamaa then wanaanza kudai kuwa wanafanya mazoezi na hawapungui kumbe walishakata tamaa siku nyingi sana!!HAhahhahaha mkuu umenichekesha sana eti anaenda kucheza cheza
Kuna jamaa mmoja nae eti anataka kupunguza mwili anachofanya anazunguka uwanja wa mpira raundi moja zen anachekacheka tayari anaona kamaliza
Chukuchuku sio chupuchupu.Acha kula vyakula vya mafuta, kula chupuchupu,then punguza kipimo cha kula
Kuna mtu amepungua kutoka kilo 85 mpaka 66.Alianza project rasmi mwezi wa nne mwishoni.Habari wakuu wa humu JF,Mimi ni mnene sana Nina 105 kg nimepima Juzi.Najitahidi sana kufanya Mazoezi lakini sipungui,Kwa kweli nauchukia unene kuliko kitu chochote na mbaya zaidi Nina kisukari nashangaa wagonjwa wenzangu wakipungua na wako na mwili mzuri Je Kwanini Mimi Mazoezi hayanisaidii?
Chakula ni mtihani kwa wengiMkuu kuna Dr ntakuunganisha nae nakupa guarantee utapungua kilo zitafika hadi 70 km utafata nasharti yake has a kwny chakula
Unafanya mazoezi ya aina gani na kwa kiwango gani?Habari wakuu wa humu JF,Mimi ni mnene sana Nina 105 kg nimepima Juzi.Najitahidi sana kufanya Mazoezi lakini sipungui,Kwa kweli nauchukia unene kuliko kitu chochote na mbaya zaidi Nina kisukari nashangaa wagonjwa wenzangu wakipungua na wako na mwili mzuri Je Kwanini Mimi Mazoezi hayanisaidii?