Kwanini mazoezi ya timu ya Simba yako wazi sana?

Kwanini mazoezi ya timu ya Simba yako wazi sana?

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Kwa nini mazoezi ya simba yapo wazi sana kila mtu anafika na kuona tunachofanya. Why viongozi hawalioni hili?

1676889423818.jpeg
 
Kuna watu mnajibu kama mmekatwa vichwa. Mmejiuliza ni kwanini Nasredine Nabi aliwafukuza mashabiki wasishuhudie mazoezi ya Yanga, siku chache kabla haijacheza na Mazembe?
 
Mazoezi kuwa wazi hayana uhusiano na Simba kufanya vibaya.
 
Ni Psychology Zaidi Other Than Technical...Braza Ulaya Kuna Timu Zinaenda Live Kabisa Na Huwaambii Kitu, Simba Ikificja Mazoezi Haiwezi Kufanya Onyango Anawa HARKASS Au Bocco Akawa KHABA
It might be, ila Bongo si kama ulaya ndugu yangu. Afrika unaweza kudhulika kwa kuweka mambo yako wazi. Kule Ulaya unaweza kuwa unatembea barabarani huku unakula biskuti au bagger, sasa jaribu kufanya hivyo ukiwa kwenye territory ya Wajaluo (wilaya ya Rorya) kama huja-RIP fasta. Waulize waliowahi kuishi kule watakwambia. Soka la Afrika lina mambo mengi ya ajabu.
 
Nakwambia hivi ushindi wa yanga utafanya muuwane..!
 
Back
Top Bottom