Kwanini mboga huaribika usiku na si mchana kutwa

Kwanini mboga huaribika usiku na si mchana kutwa

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Wana Jamvi kuna kitu napenda niwaeleze nanyi mfaidi ila nipate kwanza maoni ya wengi,

Hivi ni kwanini ukipika chakula ukifunika vizuri tu bila ya kuweka kwenye friji zaidi sana kwa miji yenye joto ikifika asubuhi inaharibika au inakuwa kama inataka kuharibika, tuache swala la kusema hukuifadhi vizuri maana lolote laweza likatokea.

Naomba maoni yenu
 
nahisi utulivu wa usiku unawapa muda mzuri bakteria kufanya mashambulizi kwa kasi, kuliko mchana zile pilika za hapa na pale zinawanyima amani?

Swali: je ukiweka chakula sehemu tulivu muda wa mchana napo kitachacha kwa kasi sawa na kile cha usiku (kwenye utulivu )

jibu: hata mini nashangaa!!
 
nahisi utulivu wa usiku unawapa muda mzuri bakteria kufanya mashambulizi kwa kasi, kuliko mchana zile pilika za hapa na pale zinawanyima amani?

Swali: je ukiweka chakula sehemu tulivu muda wa mchana napo kitachacha kwa kasi sawa na kile cha usiku (kwenye utulivu )

jibu: hata mini nashangaa!!
Hapana mchana sidhani maana hata ukiweka sehem tulivu mfano, funga nyumba wote mtoke na madirisha mfunge hapo ndani tayari ni tulivu na hamna magari au nini lakini mkirudi jioni mtakuta iko safi hakijachacha ila mkuu usiku sasa hapo ndio shughuli
 
Zinakuwa zimerambwa na mababu
unafikiri usiku watu wakilala kuna mizimu ya mababu au ma bibi yanakuja kula au kupata chochote kwakuwa wote tumepumzika au ndio muda wao kuja kututembelea na kufaidi tulichokula, wazazi wengine husema hawawezi kulala bila maji ndani chumbani, sebuleni au jikoni maji lazima yawepo hata kidogo tu.
 
Wana Jamvi kuna kitu napenda niwaeleze nanyi mfaidi ila nipate kwanza maoni ya wengi,

Hivi ni kwanini ukipika chakula ukifunika vizuri tu bila ya kuweka kwenye friji zaidi sana kwa miji yenye joto ikifika asubuhi inaharibika au inakuwa kama inataka kuharibika, tuache swala la kusema hukuifadhi vizuri maana lolote laweza likatokea.

Naomba maoni yenu

Hukuifadhi vizuri, lolote likatokea
 
jua linalinda chakula mchana kwa hiyo uwepo wake mchana ndio hufanya chakula kisiharibike kweli
Tuseme mwanga wa mchana ndio ulinda chakula wala sio jua, kuna sehemu jua uonekana baada ya siku 3 hiv
 
Tuseme mwanga wa mchana ndio ulinda chakula wala sio jua, kuna sehemu jua uonekana baada ya siku 3 hiv
Sasa unautenga vipi mwanga wa mchana na jua?ni kitu kimoja!

Ni uwepo wa usawa wa jua unaofanya mwanga mchana na kinyume chake kuwa usiku.
 
Usiku ndio mda mzuri kwa wachawi kutembea hivyo basi wakati wakipita wanadokoa na mboga na ndo chanzo cha kuharibika hicho.
 
chakula chochote kina bakteria unapopika mpaka kiive unazoofisha bakteria hujawamaliza.
Sasa wengi mnapika mchana ukiacha hiyo mboga masaa 8 bakteria wanakua wamepata nguvu ya kushambulia, mara nyingi inakua usiku.
Ndio mana kwa wenzetu (sio zanzibare )
Chakula ikipikwa ikaiva km ni ya siku kadhaa basi kuna friji maalum kwa ajili ya kupooza kwenye temperature inayotakiwa.
So
Nunua mfano nyama hasa nguruwe ina bakteria.
Pika nusu saa au dk 45 hujaua bakteria.
Ya kuchoma au kukaanga ndo kabisa mbichi.
Minyoo mingi sana kwa nguruwe inahamia kwako ukila.
Ukinya unawashwa (km delicious )
Kuna gout siyo ya mbuzi magotini hii mabegani na ikikupata hulali dawa pombe.
Usiku kucha unatetemeka mabega.
Nguruwe, kuku, kondoo, mbuzi kula well done
Ukitaka kimasai jiandae nunua shuka la kukuzikia usisumbue.
Just a tip wana JF hiyo nimeona mwenyewe
 
Back
Top Bottom