Kwanini mboga huaribika usiku na si mchana kutwa

Kwanini mboga huaribika usiku na si mchana kutwa

Da logic behind is mda! Mara nying mchana au jion chakula kinakua na mda mfupi tangu kitoke kupikwa dat y bacteria wanakua bado awajapata enough time ya kukifnya kichache!
Ukitaka kichache mchana bas kipike usiku wa manane!
 
Wana Jamvi kuna kitu napenda niwaeleze nanyi mfaidi ila nipate kwanza maoni ya wengi,

Hivi ni kwanini ukipika chakula ukifunika vizuri tu bila ya kuweka kwenye friji zaidi sana kwa miji yenye joto ikifika asubuhi inaharibika au inakuwa kama inataka kuharibika, tuache swala la kusema hukuifadhi vizuri maana lolote laweza likatokea.

Naomba maoni yenu
pika usiku tuone kitaharibika usiku huo huo au kesho yake mchana!
 
ushawahi kupika usiku alafu asubuh ukakuta mboga imechacha...au wewe ni wa kupika mchana tu..OVER
 
Back
Top Bottom