Kwanini mboga huaribika usiku na si mchana kutwa

Da logic behind is mda! Mara nying mchana au jion chakula kinakua na mda mfupi tangu kitoke kupikwa dat y bacteria wanakua bado awajapata enough time ya kukifnya kichache!
Ukitaka kichache mchana bas kipike usiku wa manane!
 
pika usiku tuone kitaharibika usiku huo huo au kesho yake mchana!
 
ushawahi kupika usiku alafu asubuh ukakuta mboga imechacha...au wewe ni wa kupika mchana tu..OVER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…