Kwanini Mbowe aligaragazwa vibaya kiasi kile na Lipumba Uchaguzi wa 2005?

Kwanini Mbowe aligaragazwa vibaya kiasi kile na Lipumba Uchaguzi wa 2005?

Chadema ilikuwa ni mara yao ya kwanza kusimamisha mgombea, pia kama chama hawakuwa na relevance kivile... Hata Mrema na TLP walikuwa juu kuliko wao.
Kwa chaguzi za Tanzania chama kingine kupata asilimia 5 ni hatua kubwa sana, na kulikuwa na juhudi kubwa nyuma yake, nadhani ndio ilikuwa mara ya kwanza kuona mgombea urais anazunguka na Chopa.

Kitaalamu yale yalikuwa ni mafanikio makubwa sana, hata kwenye mambo ya Ubunge na Udiwani walifanya vizuri pia, comparatively.
 
mbowe ni kilaza fulani tu pamoja na wanaomuita mwamba nao vilaza wewe kweli wa kupigwa hivyo na haruna? halafu wanatokea wapuuzi fulani wanaita mwamba shame on them

Uchaguzi wa 2005 ulikuwa wa kwanza kwa Mbowe na wa tatu kwa Lipumba.

Hivyo Lipumba alikuwa ana base hasa Zanzibar kuliko Mbowe. Ingawa kwa macho the main competitor wa Kikwete alikuwa Mbowe.
 
Uchaguzi wa 2005 ulikuwa wa kwanza kwa Mbowe na wa tatu kwa Lipumba.

Hivyo Lipumba alikuwa ana base hasa Zanzibar kuliko Mbowe. Ingawa kwa macho the main competitor wa Kikwete alikuwa Mbowe.
atakuwaje mbowe wakati kura zake kama chakula cha kuku tu mwamba mavi huyo hana kitu
 
Makatibu wakuu wote wamerudi CCM kuanzia Dr Walid Kaburu, Dr Wilbroad Slaa na Dr Mashinji

Wagombea Urais wawili wamerudi CCM

Wakati wa mwenda zake Viongozi wa Chadema waliongoza kwa kuunga mkono Juhudi kuliko chama chochote cha Upinzani

Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake Halima Mdee yupo Bungeni na wanawake wenzie 19

Pamoja na gogoro lote la Zitto na Chadema miaka hiyo lakin bado Chadema ilikuwa inapendekeza jina la Zitto kwenda PAC na Wabunge wa CCM wakawa wanabariki pendekezo hilo

Endelea kuamini unayopaswa kuamini kwa kuwa Movie zinaandaliwa kwa ustadi mkubwa sana ili ukiitazama uone kama 'True story'
Kuunga mkono au Rushwa ya shetani magufuri?
 
Kilaza kama wewe siyo,mwenzio alijifanya kuwa ndiye Tanzania,Tanzania ameiacha salama pamoja na ngojera zote kuwa bila yeye Tanzania haiwezi songa,chawa wake mnahangaika kwa vile kule mlikozoea kunyonya damu hakupo tena.
mbowe ni kilaza fulani tu pamoja na wanaomuita mwamba nao vilaza wewe kweli wa kupigwa hivyo na haruna? halafu wanatokea wapuuzi fulani wanaita mwamba shame on them
 
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba.

Katika uchaguzi huo Mbowe alipata kura asilimia 5 pekee huku Lipumba akipata 11%. Kwa lugha nyepesi ulikuwa unaitaji watu wawili wenye uelewa, uchambuzi wa mambo, ujengaji wa hoja, akili nk ili kumpata Lipumba mmoja.

Swali ninalojiuliza kila siku katika watu wote duniani ilikuwaje Mbowe akapitwa kiasi kile na Lipumba. Sijauliza Kikwete ambaye alipata zaidi ya 80 % ambazo zilimfanya Mbowe kumheshimu sana Kikwete.
Mbowe alipata 5% ya Tanzania YOTE lakini kwa undani zaidi alipta karibu 90% mkoa fulani na 0% mikoa 17. Lipumba alipata11% za TANZANIA yote lakini 89% Pemba na 29% Temeke.
 
Tokea uchaguzi wa vyama vingi unaanza Chadema ilikua haijawahi kusimamisha mgombea hata mara moja, mara zote ilikua ikiunga mkono mgombea wa chama kingine cha upinzani mwenye nguvu, mwaka 1995 waliunga mkono NCCR Mageuzi ya Mrema na mwaka 2000 waliunga mkono CUF na Lipumba, Lipumba hu uchaguzi ulikua mara yake ya 3 while Mbowe kwanza alikua ndio mwenyekiti kijana na ndio alikua kaanza kuchomoza kwenye siasa za kiushindani, chama chake as well. Heshima kwake Mbowe na Chadema yake kwasababu Mrema hakudumu na umaarufu wake baada tu ya uchaguzi, yaani mwaka 1998 chama chake kilikabidhiwa kwa bwana mama Tanzania to date, hakijawahi kusimama. Lipumba nae baada ya uchaguzi wa 2000 alipoteza umaarufu hadi leo, mwamba since day one yaani 2005 anazidi kuisumbua ccm hadi sasa; pongezi nyingi sana kwake
 
Mbowe,Mbatia, Lyatonga, Cheyo, Zitto na Lipumba wanatofautiana maeneo tu wanayopaswa kucheza kwny Movie ya Siasa za vyama vingi Tanzania iliyoanzishwa 1992

Vijana pambaneni mtoke kwny kuishi maisha ya ufukara badala ya kutegemea sana Wanasiasa

Kwny Kitabu cha Maisha ya Mzee Ally Hassan Mwinyi anasema walipokuwa wanakabiliwa na shiinikizo la Wahafidhina kupinga mfumo wa vyama vingi pia walikuwa wanakabiliwa na shinikizo la nje la kutaka mfumo huo uruhusiwe

Walikutana Ally Hassan Mwinyi, John Samwel Malecela na Gwiji Hayati Kingunge Ngombale Mwiru…Mwiru akawashauri bora waanzishe hilo li mfumo bila ya kusubiri shinikizo kuzidi kwa kuwa watakuwa kwny position nzuri ya kuuratibu na kuukarabati na kuuuendesha kwa 'Maslahi mapana ya Nchi'

Ila wakashindwa kuiratibu CHADEMA mpaka leo. Ndio maana Nyerere alisema katika vyama vyote hakuna Kama CHADEMA.
 
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba.

Katika uchaguzi huo Mbowe alipata kura asilimia 5 pekee huku Lipumba akipata 11%. Kwa lugha nyepesi ulikuwa unaitaji watu wawili wenye uelewa, uchambuzi wa mambo, ujengaji wa hoja, akili nk ili kumpata Lipumba mmoja.

Swali ninalojiuliza kila siku katika watu wote duniani ilikuwaje Mbowe akapitwa kiasi kile na Lipumba. Sijauliza Kikwete ambaye alipata zaidi ya 80 % ambazo zilimfanya Mbowe kumheshimu sana Kikwete.

Kwenye ule uchaguzi wagombea wakuu walikuwa Kikwete na Mbowe. Lipumba alibebwa na kura za Zanzibar. Na kupitia uchaguzi ule CHADEMA kupitia Mbowe walijitambulisha rasmi Kama mbadala wa CCM. Kumbuka mwaka 2000 CHADEMA waliiunga mkono CUF kwenye mgombea urais.
 
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba.

Katika uchaguzi huo Mbowe alipata kura asilimia 5 pekee huku Lipumba akipata 11%. Kwa lugha nyepesi ulikuwa unaitaji watu wawili wenye uelewa, uchambuzi wa mambo, ujengaji wa hoja, akili nk ili kumpata Lipumba mmoja.

Swali ninalojiuliza kila siku katika watu wote duniani ilikuwaje Mbowe akapitwa kiasi kile na Lipumba. Sijauliza Kikwete ambaye alipata zaidi ya 80 % ambazo zilimfanya Mbowe kumheshimu sana Kikwete.
Sikuwahi kufikiria kuwa una upumbavu mwingi kiasi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom