2000 chadema waliunga mkono cuf.
2005 cuf wakakataa kuinfa mkono chadema, na kumbuka kura za Uraisi ndio zilikuwa zinaleta ruzuku.
Na chedema mtei na makani waliutaka wote uraisi chama kikapasuka.
Wazee wakamua bwamdogo mbowe agombee ili kurudisha amani chamani.
So readon hapo ni:-
1. Ugeni wa mbowe kwenye siasa, hakujulikana.
2. Lipumba/cuf walikuwa mzoefu na walikuwa na base tsyari ya 2000.
mbowe ni kilaza fulani tu pamoja na wanaomuita mwamba nao vilaza wewe kweli wa kupigwa hivyo na haruna? halafu wanatokea wapuuzi fulani wanaita mwamba shame on them
atakuwaje mbowe wakati kura zake kama chakula cha kuku tu mwamba mavi huyo hana kitu
Vyovyote utavyoita ila ukweli ni kuwa walisaliti Chama chao
Mbowe alipewa kesi ya ugaidi na nani?Hawakusaliti walishurutishwa. Hata Mbowe alipewa kesi ya ugaidi na Lissu kulimwa risasi baada ya kukataa kukisujudia chama Cha mambuzi.
Mbowe,Mbatia, Lyatonga, Cheyo, Zitto na Lipumba wanatofautiana maeneo tu wanayopaswa kucheza kwny Movie ya Siasa za vyama vingi Tanzania iliyoanzishwa 1992
Vijana pambaneni mtoke kwny kuishi maisha ya ufukara badala ya kutegemea sana Wanasiasa
Kwny Kitabu cha Maisha ya Mzee Ally Hassan Mwinyi anasema walipokuwa wanakabiliwa na shiinikizo la Wahafidhina kupinga mfumo wa vyama vingi pia walikuwa wanakabiliwa na shinikizo la nje la kutaka mfumo huo uruhusiwe
Walikutana Ally Hassan Mwinyi, John Samwel Malecela na Gwiji Hayati Kingunge Ngombale Mwiru…Mwiru akawashauri bora waanzishe hilo li mfumo bila ya kusubiri shinikizo kuzidi kwa kuwa watakuwa kwny position nzuri ya kuuratibu na kuukarabati na kuuuendesha kwa 'Maslahi mapana ya Nchi'
Mbowe alipewa kesi ya ugaidi na nani?
Unahamisha magoli
Hoja ilikuwa wana Chadema wana misimamo, hawahongeki hawasalitiani…
Kateni rufaa sasa kama alionewa?Serikali ya CCM
Ndio mlivyo manyumbu mnamuona Mbowe kama Mungu mtu anakula maruzuku nyie mnapiga makelele mitandaoni kawekwa ndani na mtu mwingine lawama mnazipeleka kwa Magufuli kwa vile mmelambishwa asali mnaona tumpeleke Magufuli lawama asiyeweza kuwajibu wala kujiteteaHawakusaliti walishurutishwa. Hata Mbowe alipewa kesi ya ugaidi na Lissu kulimwa risasi baada ya kukataa kukisujudia chama Cha mambuzi.
Mikakati yake ni mibovu...
Mbowe alipata 5% ya Tanzania YOTE lakini kwa undani zaidi alipta karibu 90% mkoa fulani na 0% mikoa 17. Lipumba alipata11% za TANZANIA yote lakini 89% Pemba na 29% Temeke.
Kateni rufaa sasa kama alionewa?
Ndio mlivyo manyumbu mnamuona Mbowe kama Mungu mtu anakula maruzuku nyie mnapiga makelele mitandaoni kawekwa ndani na mtu mwingine lawama mnazipeleka kwa Magufuli kwa vile mmelambishwa asali mnaona tumpeleke Magufuli lawama asiyeweza kuwajibu wala kujitetea
Pole bosi kwa kuchelewa kujua