DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Hapo Hakuna kumtafuta mchawi,
Mchawi wa wasomi Ni wasomi wao wenyewe.
Tatizo linaanzia,
Wasomi wenyewe wanapokiuka miiko ya taaluma zao na kufuata matakwa ya matumbo yao kwa maslahi ya kisiasa.
MWISHO wa sikU,
Tija ya taaluma yao Inakua Ni sawa na sifuri, maana na wao wanaburuzwa mputa mputa Kama sisi tusiosoma.
Mchawi wa wasomi Ni wasomi wao wenyewe.
Tatizo linaanzia,
Wasomi wenyewe wanapokiuka miiko ya taaluma zao na kufuata matakwa ya matumbo yao kwa maslahi ya kisiasa.
MWISHO wa sikU,
Tija ya taaluma yao Inakua Ni sawa na sifuri, maana na wao wanaburuzwa mputa mputa Kama sisi tusiosoma.