Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Mimi ni mdau wa kilimo na Ufugaji na ninapenda kutoka moyoni kabisa.
Katika Hali inayonipa maswali mengi ni hili swala ufugaji wa Ndege kama Tausi Mbuni na Kasuku.
Huwa napenda kujifunza bila ukomo hasa kupitia mitandao ya kijamii. Ukiingia mjini YouTube uka search Ufugaji wa Tausi Tanzania
Utakacho kutana nacho utaogopa na kutetemeka. Aisee binafisi Mimi Huwa naletewa Njiwa Tausi!
Tena wafugaji wa njiwa Hawa ni wengi sana Kwa maana hiyo Tanzania wafugaji wa Tausi hawapo kabisa hata mmoja?
Kichekesho ni kwamba uki search hivyohivyo Kwa lugha ya kiingereza utakutana na wakenya wengi sana wanafunga hao Tausi mbuni na Kasuku na wapo openly sana.
View: https://youtu.be/c2e7M-9wL6w?si=LM6kz3T0LWFYI8DW
Najiuliza Ina maana Tanzania ni kosa kisheria kufuga Hawa ndege? Kama ndiyo vipi kuhusu kanga mbona wao wanafugwa Hadi wale maporini?
Basi kama Kuna taratibu za kufuata Ili kufuga ndege Hawa naomba wajuvi wa hili watupe mwongozo wa kufuata.
Binafisi sidhani kama ni dhambi watu wakiji fugia tu kiholela Ili mradi tu anauwezo wa KUFANYA hivyo. MFANO kama kasuku hata upatikanaji wake sio rahisi na hata Tausi Hali kadharika vilevile.
Kwa maana hiyo hata kama wakiruhusu Bado wafugaji watakuwa wachache vile vile. Ni Nini hofu ya serikali kwamba watu wakifuga Tausi Hadi wawe na vibali na mlolongo kibao wa vitu vya kufuata Ili Hali Tausi Hana madhara yoyote Kwa binadamu.
Wala siyo kusema labda Tausi anapatikana Tz pekee yake hapana.
Nilitamani sana watu tuuziwe hata wannyama rafiki kama swala,digidigi,pofu na wote wa jamii hiyo.
Issue iwe ni kulipia kibali Cha kununua tu ukipenda ukachinje niwewe. Maana Kwa kifupi sisi tunazuiana lakini wazungu ambao tunategemea waje watalii kwetu ndo wanawabeba na kwenda kufuga kwao hii Nini Sasa tunafanyiana?
Mnadhani baada ya miaka michache ijayo mzungu atatoka Canada kuja kumuona nyati anayemfugaja kwakwe ama jirani yake?
Niliwahi ona jamaa alikuwa anafuga tumbiri(Gendere) wakaguzi mara kazaa walikuwa wanakuja kuangalia mahala pale. Wakati huko maporini ngedere wanategwa na kuuliwa Kwa Sumu daily mfano mzuri tu kijijini kwetu.
Gendere wanao kufa ni wengi mno Kwa kuwindwa na mbwa wakali na kuuliwa Kwa Sumu na mitego kwani huharibu sana mazao ya wakulima!
Sasa hizo route mnazo fanya kwenda kuangalia Gendere mmoja au watatu waliofugwa zingekuwa zinafanyika kwenda kijijini kuwapa darasa watu Ili wasiwaue zingezaa matunda sana.
Kwanini wakenya tukubali watuzidi Kwa kiasi kikubwa namna hii?
Ni hitimishe Kwa kusema Nia tunayo sana ya kufuga hasa wanyama na ndege rafiki Kwa bindamu hasa waliotajwa hapo juu akiwemo na mbuni na wengine wengi kama sungura pori nk
View: https://youtu.be/oD9HihuWTpU?si=4oT0_9ZZVcDy2DU4
Hata Ghana wanafuga Kwa wingi sana.
View: https://youtu.be/Sj3UGIYmGGY?feature=shared
Katika Hali inayonipa maswali mengi ni hili swala ufugaji wa Ndege kama Tausi Mbuni na Kasuku.
Huwa napenda kujifunza bila ukomo hasa kupitia mitandao ya kijamii. Ukiingia mjini YouTube uka search Ufugaji wa Tausi Tanzania
Utakacho kutana nacho utaogopa na kutetemeka. Aisee binafisi Mimi Huwa naletewa Njiwa Tausi!
Tena wafugaji wa njiwa Hawa ni wengi sana Kwa maana hiyo Tanzania wafugaji wa Tausi hawapo kabisa hata mmoja?
Kichekesho ni kwamba uki search hivyohivyo Kwa lugha ya kiingereza utakutana na wakenya wengi sana wanafunga hao Tausi mbuni na Kasuku na wapo openly sana.
View: https://youtu.be/c2e7M-9wL6w?si=LM6kz3T0LWFYI8DW
Najiuliza Ina maana Tanzania ni kosa kisheria kufuga Hawa ndege? Kama ndiyo vipi kuhusu kanga mbona wao wanafugwa Hadi wale maporini?
Basi kama Kuna taratibu za kufuata Ili kufuga ndege Hawa naomba wajuvi wa hili watupe mwongozo wa kufuata.
Binafisi sidhani kama ni dhambi watu wakiji fugia tu kiholela Ili mradi tu anauwezo wa KUFANYA hivyo. MFANO kama kasuku hata upatikanaji wake sio rahisi na hata Tausi Hali kadharika vilevile.
Kwa maana hiyo hata kama wakiruhusu Bado wafugaji watakuwa wachache vile vile. Ni Nini hofu ya serikali kwamba watu wakifuga Tausi Hadi wawe na vibali na mlolongo kibao wa vitu vya kufuata Ili Hali Tausi Hana madhara yoyote Kwa binadamu.
Wala siyo kusema labda Tausi anapatikana Tz pekee yake hapana.
Nilitamani sana watu tuuziwe hata wannyama rafiki kama swala,digidigi,pofu na wote wa jamii hiyo.
Issue iwe ni kulipia kibali Cha kununua tu ukipenda ukachinje niwewe. Maana Kwa kifupi sisi tunazuiana lakini wazungu ambao tunategemea waje watalii kwetu ndo wanawabeba na kwenda kufuga kwao hii Nini Sasa tunafanyiana?
Mnadhani baada ya miaka michache ijayo mzungu atatoka Canada kuja kumuona nyati anayemfugaja kwakwe ama jirani yake?
Niliwahi ona jamaa alikuwa anafuga tumbiri(Gendere) wakaguzi mara kazaa walikuwa wanakuja kuangalia mahala pale. Wakati huko maporini ngedere wanategwa na kuuliwa Kwa Sumu daily mfano mzuri tu kijijini kwetu.
Gendere wanao kufa ni wengi mno Kwa kuwindwa na mbwa wakali na kuuliwa Kwa Sumu na mitego kwani huharibu sana mazao ya wakulima!
Sasa hizo route mnazo fanya kwenda kuangalia Gendere mmoja au watatu waliofugwa zingekuwa zinafanyika kwenda kijijini kuwapa darasa watu Ili wasiwaue zingezaa matunda sana.
Kwanini wakenya tukubali watuzidi Kwa kiasi kikubwa namna hii?
Ni hitimishe Kwa kusema Nia tunayo sana ya kufuga hasa wanyama na ndege rafiki Kwa bindamu hasa waliotajwa hapo juu akiwemo na mbuni na wengine wengi kama sungura pori nk
View: https://youtu.be/oD9HihuWTpU?si=4oT0_9ZZVcDy2DU4
Hata Ghana wanafuga Kwa wingi sana.
View: https://youtu.be/Sj3UGIYmGGY?feature=shared