BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Sijui ni desturi ya huko Tanganyika ama ni nini? Mtu akimuona mbwa lazima amtupie jiwe!
Nafikiri hii pia ni mojawapo ya zile "tamaduni za kitanganyika" ambazo zinapigiwa makelele mpaka wameamua kuunda programu maalumu ya kwenye redio ili KUHUBIRI na KUTANGAZA UTAMADUNI WA KITANGANYIKA.
Na nimesikia hapo mwakani kutakuwa na somo la UTAMADUNI WA KITANGANYIKA huko mashuleni. Hili nalo liingizwe.
Mbwa wengi wamegeuka kuwa mbwa-koko kwa sababu ya kupigwa hovyo, kurushiwa mawe, kufokewa na kunyanyaswa.
Mtu akiona mbwa tu ni kama anapata mtikisiko wa neva, unashangaa anaokota jiwe anambonda nalo! Kwa hakika huu nao ni UTAMADUNI WA KITANGANYIKA. Inashangaza.
Sijawahi kuona watu huko Tanganyika wakiwaheshimu wanyama hususani mbwa! Kama wapo basi ni wachache sana.
Unashtukia tu mtu ameokota kajiwe kake anamrushia mnyama! Akimkosa anaongeza la pili, ni kama JUHUDI fulani hivi!
Kuna haja ya mitaala shuleni kuanza kufundisha watoto tabia ya kuheshimu wanyama! Haya mambo ya UTAMADUNI WA KITANGANYIKA wa KUWABAMIZA WANYAMA hebu tuachane nayo!
Naamini hili nalo wahusika wa Jamiiforums watalichukua na kulisambaza mitandaoni ili kueneza hii elimu ya dharura! Wanyama wanaumizwa sana na hakuna wa kuwasemea!
Huwa naonaga Jamiiforums wanasambaza taarifa zao huko facebook kwa kuwanukuu "WADAU" mambo waliyoyapost humu. Na hili nalo mlichukue na MKALITIZAME.
Asante.
Nafikiri hii pia ni mojawapo ya zile "tamaduni za kitanganyika" ambazo zinapigiwa makelele mpaka wameamua kuunda programu maalumu ya kwenye redio ili KUHUBIRI na KUTANGAZA UTAMADUNI WA KITANGANYIKA.
Na nimesikia hapo mwakani kutakuwa na somo la UTAMADUNI WA KITANGANYIKA huko mashuleni. Hili nalo liingizwe.
Mbwa wengi wamegeuka kuwa mbwa-koko kwa sababu ya kupigwa hovyo, kurushiwa mawe, kufokewa na kunyanyaswa.
Mtu akiona mbwa tu ni kama anapata mtikisiko wa neva, unashangaa anaokota jiwe anambonda nalo! Kwa hakika huu nao ni UTAMADUNI WA KITANGANYIKA. Inashangaza.
Sijawahi kuona watu huko Tanganyika wakiwaheshimu wanyama hususani mbwa! Kama wapo basi ni wachache sana.
Unashtukia tu mtu ameokota kajiwe kake anamrushia mnyama! Akimkosa anaongeza la pili, ni kama JUHUDI fulani hivi!
Kuna haja ya mitaala shuleni kuanza kufundisha watoto tabia ya kuheshimu wanyama! Haya mambo ya UTAMADUNI WA KITANGANYIKA wa KUWABAMIZA WANYAMA hebu tuachane nayo!
Naamini hili nalo wahusika wa Jamiiforums watalichukua na kulisambaza mitandaoni ili kueneza hii elimu ya dharura! Wanyama wanaumizwa sana na hakuna wa kuwasemea!
Huwa naonaga Jamiiforums wanasambaza taarifa zao huko facebook kwa kuwanukuu "WADAU" mambo waliyoyapost humu. Na hili nalo mlichukue na MKALITIZAME.
Asante.